Naogopa atanizalia watoto waislam

Naogopa atanizalia watoto waislam

Siku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia. Uzi wenyewe huu: Natafuta mwanamke wa kunizalia

Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.

Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.

Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.

Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.

Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.

Nifanyaje?
Huyo muislam jina, hana Uislam.


Uongo mtupu.
 
Siku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia. Uzi wenyewe huu: Natafuta mwanamke wa kunizalia

Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.

Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.

Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.

Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.

Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.

Nifanyaje?
Upuuzi kabisa
 
Siku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia. Uzi wenyewe huu: Natafuta mwanamke wa kunizalia

Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.

Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.

Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.

Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.

Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.

Nifanyaje?
Embu zalishe wee kwani dini inakupa nn unaogopa kitu ulicholetwa na wazungu eti naogopa mgawanyiko

Mm mwanangu wa kwZa Ni rc wapili Ni msabato na. Watatu ni muislamu anaitwa Hassan na Wal siwazi kbsaa kila mtu abaki na dini yake. Mm Bab Yao Ni kkkt na Wala siataki kuabdili
 
Embu zalishe wee kwani dini inakupa nn unaogopa kitu ulicholetwa na wazungu eti naogopa mgawanyiko

Mm mwanangu wa kwZa Ni rc wapili Ni msabato na. Watatu ni muislamu anaitwa Hassan na Wal siwazi kbsaa kila mtu abaki na dini yake. Mm Bab Yao Ni kkkt na Wala siataki kuabdili

sasa uliruhusuje wanao kua dini tofauti??

hamna baba hapa[emoji3][emoji3]
 
Ondoa wasiwasi kuhusu huyo Binti wa kiislam Kwa sababu
1. Hajalelewa katika maadili ya kiislam na uislam wake ni jina tu
2. Mtoto wako upo uwezekano mkubwa akafuata dini yako kama utataka hivyo kwa sababu mama yake hana msimamo wa kiislam(rejea point ya kwanza).
3. Inaonekana hata huo ukristo wako ulichaguliwa na wazazi wako. Ulilelewa katika ukristo ukaupenda na kuuamini, pengine ungezaliwa na wazazi waislam ukalelewa kiislam ungeupenda uislam kama sasa hivi unavyoupenda ukristo. Point yangu ni nini? Hizi dini tulizoletewa au kuzirithi kutoka kwa waliotutangulia zinaweza kuwa za uongo. Siku zote uongo ukiaminiwa na wengi unageuka kuwa kweli. Ukristo au Uislam dini mojawapo ni ya uongo au zote zinaweza kuwa za uongo bila kujali wangapi wanaziamini. Muache dogo aamini atakachoamini, usimpandikize dini kama wewe ulivyopandikizwa
 
Siku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia. Uzi wenyewe huu: Natafuta mwanamke wa kunizalia

Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.

Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.

Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.

Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.

Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.

Nifanyaje?
usihofu watakua waislamu wa majina tu au wa kukariri,,,ila kitaa tutakua nao kwenye kitimoto na bia
 
Back
Top Bottom