Halafu kama story kama hii ilishanitokea vile.....! Labda natamani ningewepo somewhere nikicheki kwa mbaaaaaaali akikusimulia.....! Hahahaha, sipati picha walahi....!kwa ujinga gani nilionao mpaka ajue ID yangu?
Kuna siku aliwahi nisimulia sredi yangu nilicheka sana
Nami mmasai pia.... huku nashindwa kuongea hadharani.... huenda ukanishtukia labda ndio mwenyewe huyo..... hahahaha...Nilishasema kuwa sitomsaliti BF wangu (Mmasai) hata kwa kipi.Pia naamni Mmasai ananiweza sana ingawa mpaka tulazimishane kwa mambo yake ya dini.
wanitakia mabaya weweLol! bidada, Mipira ipo gest mbona!! Kwani wewe hutumiagi lakini! Nakushauri tu ili usiendelee kuteseka huko kwenye magest.
Siwezi lala Guest hakuna pombe ...Hotel haina mjadala muda mwingi nakuwa bar...
wewe sema unataka uwe unashikashika mapaja ya wadada ukinywa pombe zakoSiwezi lala Guest hakuna pombe ...Hotel haina mjadala muda mwingi nakuwa bar...
Aisee, hilo ni wazo zuri sana lakini tatizo jamaa yakemlokole[/INDENT]hatafunii gest, sasa hata wakisafiri na kulala gest atamchomolea tu. lol!
MERTYNA, sinza shekilango ipi unayolala kwa 10,000? Kama ni mti mrefu (kamanyola), basi pale ni danguro, no wonder ukiingia tgu unasikia kelele!
Basically mie sioni tatizo kwani kila siku nyumbani sio fresh... unaweza mwambia mkaenda hotel kama sio guest house... au popote pale mfano beach za hapa dar kigamboni kuna vibanda unalipa 30 usd unalala kando kabisa ya bahari uku ukipata maraha. Unaweza fanya kwenye balcony ya ofisi au ukumbi wa disko. Yaani popote pale. La msingi zingatia usalama.
Digna unaficha kinini?sema tu dear hata kama chungu kwanguMhh!! Mhuuuuuuuuuuuu!:A S 103:
Wewe kutukimbizia Dena wetu ndo nini
Wala hata usijishangae... imagination yako ni bora kuliko yangu...lol... nikitaja itakubidi ufunge thread nzima...
aksante kwa kuwa mkeli ila hapo pa kwenda gesti atanielewaaaaaaaaaaa?wewe ungenielewa nikikwambia hivi in caseBasically mie sioni tatizo kwani kila siku nyumbani sio fresh... unaweza mwambia mkaenda hotel kama sio guest house... au popote pale mfano beach za hapa dar kigamboni kuna vibanda unalipa 30 usd unalala kando kabisa ya bahari uku ukipata maraha. Unaweza fanya kwenye balcony ya ofisi au ukumbi wa disko. Yaani popote pale. La msingi zingatia usalama.
wewe sema unataka uwe unashikashika mapaja ya wadada ukinywa pombe zako
Kwani huwezi chukua KONYAGI NDOGO na viroba kadhaa kwenye mfuko ukajinywea chumbani GESTI?
mbona na pombe wanauza kwa wateja waliondani ya vyumba in most GESTI?
utani mwingine utazania ukweli.Halafu kama story kama hii ilishanitokea vile.....! Labda natamani ningewepo somewhere nikicheki kwa mbaaaaaaali akikusimulia.....! Hahahaha, sipati picha walahi....!
Nami mmasai pia.... huku nashindwa kuongea hadharani.... huenda ukanishtukia labda ndio mwenyewe huyo..... hahahaha...
aksante dear!Merytina fanya mpango ulale hotel, siku hizi kahotel kazuri tu sh 50000 pungufu hadi 20000 inategemea na maeneo, huko hutasikia kelele wala miguno, pia jifunze ukisafiri uwe na vitabu vya kusoma, au beba laptop yako ukiwa idle unaingia JF tu, mie nikisafiri ndio utaniona sibanduki humu mpaka saa tisa usiku
Pombe huwa tamu uwapo na walevi wenzio! Afterall sifagilii ngono kuliko kinywaji!