Naogopa kumwambia kuwa nina hamu ya kufanyia mapenzi gesti house

Naogopa kumwambia kuwa nina hamu ya kufanyia mapenzi gesti house

kwa ujinga gani nilionao mpaka ajue ID yangu?
Kuna siku aliwahi nisimulia sredi yangu nilicheka sana
Halafu kama story kama hii ilishanitokea vile.....! Labda natamani ningewepo somewhere nikicheki kwa mbaaaaaaali akikusimulia.....! Hahahaha, sipati picha walahi....!

Nilishasema kuwa sitomsaliti BF wangu (Mmasai) hata kwa kipi.Pia naamni Mmasai ananiweza sana ingawa mpaka tulazimishane kwa mambo yake ya dini.
Nami mmasai pia.... huku nashindwa kuongea hadharani.... huenda ukanishtukia labda ndio mwenyewe huyo..... hahahaha...
 
Merytina fanya mpango ulale hotel, siku hizi kahotel kazuri tu sh 50000 pungufu hadi 20000 inategemea na maeneo, huko hutasikia kelele wala miguno, pia jifunze ukisafiri uwe na vitabu vya kusoma, au beba laptop yako ukiwa idle unaingia JF tu, mie nikisafiri ndio utaniona sibanduki humu mpaka saa tisa usiku
 
Siwezi lala Guest hakuna pombe ...Hotel haina mjadala muda mwingi nakuwa bar...
wewe sema unataka uwe unashikashika mapaja ya wadada ukinywa pombe zako
Kwani huwezi chukua KONYAGI NDOGO na viroba kadhaa kwenye mfuko ukajinywea chumbani GESTI?
mbona na pombe wanauza kwa wateja waliondani ya vyumba in most GESTI?
 
hivi kutafuna gf/bf sio dhambi tena siku hizi ehh?
Aisee, hilo ni wazo zuri sana lakini tatizo jamaa yake
mlokole[/INDENT]​
hatafunii gest
, sasa hata wakisafiri na kulala gest atamchomolea tu. lol!​
 
MERTYNA, sinza shekilango ipi unayolala kwa 10,000? Kama ni mti mrefu (kamanyola), basi pale ni danguro, no wonder ukiingia tgu unasikia kelele!

rudi kituo kimoja , then the opposite is true mitaa hiyohiyo.No!sikupi jina kwani in every two wiks lazima niwepo
mbona zipo kibao za elfu 10000
 
Basically mie sioni tatizo kwani kila siku nyumbani sio fresh... unaweza mwambia mkaenda hotel kama sio guest house... au popote pale mfano beach za hapa dar kigamboni kuna vibanda unalipa 30 usd unalala kando kabisa ya bahari uku ukipata maraha. Unaweza fanya kwenye balcony ya ofisi au ukumbi wa disko. Yaani popote pale. La msingi zingatia usalama.

Wewe kutukimbizia Dena wetu ndo nini
 
Kwani ukienda naye hotel kama vile CITY NOVELTY, LION and the like itakuwaje? Mwmabie tu kwmaba leo nimechoka twende tukalale hotel!
 
Wala hata usijishangae... imagination yako ni bora kuliko yangu...lol... nikitaja itakubidi ufunge thread nzima...

bora usitaje usije ukaniambukiza imagination zako
 
Basically mie sioni tatizo kwani kila siku nyumbani sio fresh... unaweza mwambia mkaenda hotel kama sio guest house... au popote pale mfano beach za hapa dar kigamboni kuna vibanda unalipa 30 usd unalala kando kabisa ya bahari uku ukipata maraha. Unaweza fanya kwenye balcony ya ofisi au ukumbi wa disko. Yaani popote pale. La msingi zingatia usalama.
aksante kwa kuwa mkeli ila hapo pa kwenda gesti atanielewaaaaaaaaaaa?wewe ungenielewa nikikwambia hivi in case
 
wewe sema unataka uwe unashikashika mapaja ya wadada ukinywa pombe zako
Kwani huwezi chukua KONYAGI NDOGO na viroba kadhaa kwenye mfuko ukajinywea chumbani GESTI?
mbona na pombe wanauza kwa wateja waliondani ya vyumba in most GESTI?

Pombe huwa tamu uwapo na walevi wenzio! Afterall sifagilii ngono kuliko kinywaji!
 
Halafu kama story kama hii ilishanitokea vile.....! Labda natamani ningewepo somewhere nikicheki kwa mbaaaaaaali akikusimulia.....! Hahahaha, sipati picha walahi....!


Nami mmasai pia.... huku nashindwa kuongea hadharani.... huenda ukanishtukia labda ndio mwenyewe huyo..... hahahaha...
utani mwingine utazania ukweli.
Naapa naahidi sitodu na mwingine labda niachike
 
Nadhani njia rahisi ni kuomba mume/mpenzi wako umtoe out na umwambie kabisa kuwa outing yenyewe si ya kurudi home siku hiyo,kisha mpeleke hoteli ukaburudike.Kwa nini ujiumize nafsi yako bure wakati yeye ni wako? vunja ukimya tuu.
 
Sasa wewe Merytina, nini huwa kinakunyegesha, ni hiyo milio ya shughuli next room au wewe ukiingia room kwako tu mihemuko nayo inapanda? Ulishawahi kushughulikiwa gest before?
 
Merytina fanya mpango ulale hotel, siku hizi kahotel kazuri tu sh 50000 pungufu hadi 20000 inategemea na maeneo, huko hutasikia kelele wala miguno, pia jifunze ukisafiri uwe na vitabu vya kusoma, au beba laptop yako ukiwa idle unaingia JF tu, mie nikisafiri ndio utaniona sibanduki humu mpaka saa tisa usiku
aksante dear!
sisi hupew 45000 (private company)tunaposafiri sasa hiyo hotel sijui ntalipiaje hata kama ni 30000
hata nisiposikia miguno ile hali ya shika funguo za chumba chako mimi naanza kupungukiwa akili.

Unajua home nalala na ndugu yetu flani, kuna kelele za madogo ila gesti kimyakimya mawazo mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Pombe huwa tamu uwapo na walevi wenzio! Afterall sifagilii ngono kuliko kinywaji!

Mchungaji utakuwa unam underdose mama mchungaji kama tabia yako ndio hii.
Mwenyewe sifagiliii ngono ila kitendo cha kuambiwa shika funguo zako basi kwishlia mbali ndio maana najitahidi kutotoka toka maana unaweza jishtukie umemvaa mtu ni mtu
 
Back
Top Bottom