Naogopa kutendwa

Hata mimi nilikuwa kama wewe mwanzo..., nilimwomba sana MUNGU, na amesikia maombi yangu
and now nimepata mwenzangu na tunapendana saaaana
so mwombe sana MUNGU atakusikia....
 
Lugha gongana!
Hata mimi sijaelewa.
Come again, Karry.
Nilivyomuelewa mimi ni kuwa hajawai kuishi nyumba moja yaani kipindi cha mahusiano kila mtu alikuwa akiishi kivyake
 
Last edited by a moderator:
Njoo uniliwaze me nmeshatendwa cwez kukutenda maana maumivu yake nayajua
 

Ufanye nini?? Toroka uje kwangu...
 
Yap...alipokua akiishi mwenzangu.
 
ukiendelea kuwa mpweke huo uoga hautaisha... hebu fungua moyo kwa mwingine azibe pengo lililopo ili kukamilisha furaha yako...

pia omba Mungu akupe roho ya kuushinda huo uoga na kusahau ya nyuma.
 
nina iman nimeingia sehem husika, mategemeo yangu ni siku moja nisahau kilicho nitokea.....niishi kwa amani kama watu wengine,..asanteni kwa ushauri wenu hakika nitajitahid kuufata.
 
nina iman nimeingia sehem husika, mategemeo yangu ni siku moja nisahau kilicho nitokea.....niishi kwa amani kama watu wengine,..asanteni kwa ushauri wenu hakika nitajitahid kuufata.
Mbona umenibania ujumbe wangu?.... na cv yangu nimetuma!!
 
Ushauri wangu kwako,mapenz ni zaid ya urafik tafuta marafik sio mpenz usiwaze kuenjoy kwan ya moyon kwa mtu huyajui pia jaribu kupata mahusiano kwa sasa kwan kadri unavyokaa ndivyo uoga huongezeka itafikia hutohitaji kabisa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Wewe huogopi kupendwa bali unaogopa kutendwa. Kwa umri wako jitahidi kuwa makini ktk maamuzi yako, pia usiwe mwepesi kumvulia nguo mwanaume kabla hujamfahamu vizuri.
 
OMG am finaly fallen in love with JF _______________ Keep it up Founder of this platform
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…