Naogopa kutongoza

Naogopa kutongoza

Nilipigwa na nan sasa au unawaonea wivu madem nliowatomba yan cjui hoja yako ninini
Hoja yangu ni hii. U handsome haupotei kama siyo kutoweka kwa kuota ndevu, bali kwa kukonda pekee. Wewe umesema maisha yamekukomaza na ndevu hunyoi so siyo handsome tena na unalazimika kutongoza. Sasa mimi nakisahihisha kuwa, kwa maelezo yako hukuwa na hukuwahi kuwa hb kwa sababu ukizaliwa hb wewe ni hb tu iwe unafuga ndevu au umezeeka.

Nikakupa mfano, si unamuona JK? Mimi hapa ni mzee na nina madevu ila nawala balaa.

Ndiyo maana nikasema kuwa ulipigwa kijana wangu.
 
Hoja yangu ni hii. U handsome haupotei kama siyo kutoweka kwa kuota ndevu, bali kwa kukonda pekee. Wewe umesema maisha yamekukomaza na ndevu hunyoi so siyo handsome tena na unalazimika kutongoza. Sasa mimi nakisahihisha kuwa, kwa maelezo yako hukuwa na hukuwahi kuwa hb kwa sababu ukizaliwa hb wewe ni hb tu iwe unafuga ndevu au umezeeka.

Nikakupa mfano, si unamuona JK? Mimi hapa ni mzee na nina madevu ila nawala balaa.

Ndiyo maana nikasema kuwa ulipigwa kijana wangu.
Sawa Mzee
 
Madhara ya punyeto na bangi hayo unatembea macho chini...utatongoza muda gani
Siyo kweli.... Bangi haiko hivyo labda kama anavuta mchicha.... Hujawahi kusikia kuwa bangi inamfanya mtu achanganyikiwe na siyo pombe???
Yeah ni kweli maana bangi inahusishwa na stimulation and activation ya brain.... Kwahiyo uvutaji wa bangi unafanya ubongo kuwa active zaidi na kuongeza confidence ya mtu so ukiwa na confidence na ubongo makini huwezi kuogopa kutongoza.... Madhara ya bangi yanakuja kuonekana pale ambapo hizo stimulation and activation za brainy zinavyotokea na hukuiandaa akili yako au uwezo wa bongo yako ni mdogo kuhimili hiyo mikiki mikiki lazima udate.

Huyo kijana confidence yake iko chini end result yake ni kuwa na aibu mwisho wa siku anaogopa kutongoza na hali ikiwa mbaya atakimbilia punyeto kama remedy ya kushindwa kutongoza...

Mwisho wa siku ndiyo anazidi kujiongezea matatizo .

Ushauri wangu kwa kijana ni kwamba practice makes perfect... So atafuta mwanamke au wanawake ambao hana chakupoteza kutoka kwao then aanze kutongoza hao kama starter pack hii itaboost confidennce yake....

Baada ya hapo sasa aanze sasa kutongoza wale ambao anahisi anaikitu cha kupoteza kwao yaani atongoze wale wanawake ambao kwa upande wake yeye anaona anawavutia... Atumie mbinu zilezile alizokuwa anatumia kwa wale wa awali ... Baada ya hapo alete mrejesho humu...

Kijana akumbuke kuwa hakuna formula ya kutongoza iliyorasmi na asipagawe na wanawake maana wote wako sawa hakuna mzuri kumzidi mwingine... Nikimaanisha kuwa demu unayemuona mkali kwako kwa wengine ni wakawaida mnoo na kinyume chake ni kweli....


Ni hayo tu[emoji23][emoji119]
 
Hoja yangu ni hii. U handsome haupotei kama siyo kutoweka kwa kuota ndevu, bali kwa kukonda pekee. Wewe umesema maisha yamekukomaza na ndevu hunyoi so siyo handsome tena na unalazimika kutongoza. Sasa mimi nakisahihisha kuwa, kwa maelezo yako hukuwa na hukuwahi kuwa hb kwa sababu ukizaliwa hb wewe ni hb tu iwe unafuga ndevu au umezeeka.

Nikakupa mfano, si unamuona JK? Mimi hapa ni mzee na nina madevu ila nawala balaa.

Ndiyo maana nikasema kuwa ulipigwa kijana wangu.
Teh teh 😂😂 JF ina vituko kweli kweli...haaaaaa..
 
Back
Top Bottom