Naogopa kuzeeka

Naogopa kuzeeka

Mkuu zile zilikuwa/ni dini sawa kabisa na hizi za kuletwa.

Hata sisi tusiofuata dini za kimila (mimi ni mkristu) tunatambika altareni.

Tuheshimu dini zote (naz akimila pia) hata kama tunafungamana na dini za kuletwa.
Hizi dini za kigeni hazipatani na dini za kimila
 
Hizi dini za kigeni hazipatani na dini za kimila
Mara nyingi ndivyo. Lakini muumini unatakiwa unayoambiwa uchanganye na ya kwako.

Waislamu, Wakristo, wa dini za kimila, wabudha/wahinduu, wasio na dini nk - wote tunakiwa kuheshimiana na kuishi kwa amani. Wote tunahitaji kupendana, kutokuibiana, na kadhalika.
 
Kama yuko vizuri basi huwa na kajitambu mtepeto, akiwa bongebonge zile nyama zinaanza kushuka chini na kuzidi kumtesa ni bora akapungua.

Wazee wengi wenye mwili mdogo hawasumbuliwi sana na magonjwa ya uzee na viungo kama wale vibonge.

Ila uzee jau sometimes ila kufa nako ni kisanga.
 
Nimewatazama wazee wangu pamoja na marafiki zangu ambao ni wazee, nimegundua miili yao haiongezeki zaidi ya kupukutika; ile minofu iliyokuwa inaficha mifupa inapotea.

Sasa najiuliza swali kwa hawa wazee wangu, kwa nini umri unavyozidi kusogea ndio miili yao inarudi utotoni/ inakuwa midogo?

Wanajitahidi kula vizuri, lakini bado nyama zinapukutika na mifupa kuonekana.

Kama uzee ndio unakuja na changamoto hizi, nini maana ya maisha sasa?

Mpaka sasa naogopa kuzeeka​
Kumbe tuko wengi😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom