Naogopa ligi kutawaliwa na timu moja miaka sita/saba ijayo

Naogopa ligi kutawaliwa na timu moja miaka sita/saba ijayo

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kwa mwenendo huu naona club ya Yanga ikitawala league ya ndani kwa miaka mingi ijayo.

Sioni mipango mikubwa kutoka club ya Simba, Azam. Naona Mambo yale Yale yakiendelea.

Hofu yangu ni kwamba itakuwa kama ligi za south Africa, misri, Algeria, ambazo zinatawaliwa na club moja.

Ligi zinakuwa hazina Ushindani. Club moja kutawala ligi inapunguza radha ya mpira.

Yanga wanaonekana huko mbeleni watakosa mpinzani wa maana labda mashindano ya kimataifa.

Simba/Azam wajitahidi kuleta ushandani. Waache ujanjaujanja Wajifunze kutoka kwa Yanga la sivyo watapotea kwenye ramani ya mpira.
 
Msimu ujao league inaweza kuwa ngumu sana kama Azam hatabadili kikosi maana wale waliopo wote ni vijana wa kati na Wana morali sana.

Yule Fuentes ni beki Moja hatari kabisa akipata viungo wazuri atazima balaa.

Azam aweza kuwa mshindani
 
Mbona kawaida. Sio jambo geni hata ulaya Juventus, PSG na Bayern Munich zimetawala miaka 5+ mtawalia.

Hapa Afrika tunao mfano wa Aly Ahly na Asec Memosac zimewahi kutawala hadi mara 7+ mtawalia.

Hakuna jipya. Timu zingine zijipange ziache kulialia. Huo ndio ushindani.
 
Kwa mwenendo huu naona club ya Yanga ikitawala league ya ndani kwa miaka mingi ijayo.

Sioni mipango mikubwa kutoka club ya Simba, Azam. Naona Mambo yale Yale yakiendelea.

Hofu yangu ni kwamba itakuwa kama ligi za south Africa, misri, Algeria, ambazo zinatawaliwa na club moja.

Ligi zinakuwa hazina Ushindani. Club moja kutawala ligi inapunguza radha ya mpira.

Yanga wanaonekana huko mbeleni watakosa mpinzani wa maana labda mashindano ya kimataifa.

Simba/Azam wajitahidi kuleta ushandani. Waache ujanjaujanja Wajifunze kutoka kwa Yanga la sivyo watapotea kwenye ramani ya mpira.
Yanga wanajipanga kimataifa ,they use collective leadership,(uongozi jumuishi)
 
Sasa kama watu wanasema kibegi ni mafanikio kwanini Yanga asibebe ubingwa mara kumi mfululizo. Sasa hivi wanamuona balua mkombozi. Nyie nyie acheni utoto mtaanza kulalamika Yanga kubebwa kama vilevile Yanga alipokuwa analalamika Simba kubebwa alipochukua kombe mara nne. Yanga walijitathmini wakajua nakosa Yao wakawa na uongozi kiasi Fulani imara ndio mnaona matunda sasa. Kunakipindi Yanga walifanya maamuzi magumu wakatema zaidi ya wachezaji 12 na Ngasa akiwepo kwenye list
 
Kwa mwenendo huu naona club ya Yanga ikitawala league ya ndani kwa miaka mingi ijayo.

Sioni mipango mikubwa kutoka club ya Simba, Azam. Naona Mambo yale Yale yakiendelea.

Hofu yangu ni kwamba itakuwa kama ligi za south Africa, misri, Algeria, ambazo zinatawaliwa na club moja.

Ligi zinakuwa hazina Ushindani. Club moja kutawala ligi inapunguza radha ya mpira.

Yanga wanaonekana huko mbeleni watakosa mpinzani wa maana labda mashindano ya kimataifa.

Simba/Azam wajitahidi kuleta ushandani. Waache ujanjaujanja Wajifunze kutoka kwa Yanga la sivyo watapotea kwenye ramani ya mpira.
Wachezaji wanopambania timu viongozi wanashangilia timu ikifungwa na Simba ama yanga
 
F1aUg3dWcAAz5L_.jpg
 
Tatizo la Simba Ni Viongozi wetu kuleta siasa badala ya Utaalam wa kiufundi.

Yanga wapo vizuri sana kwenye Utawala wameweka watu wa mpira ndio maana tunaona wanafanikiwa.

Ukiangalia kwa miaka 3 wachezaji waliokuja simba Na kuvunjiwa mikataba ni zaidi 40 makocha zaidi ya 7 huu ni Udhaifu wa uongozi Na ubadhirifu wa fedha za club.

Unaposajili wachezaji Na kuwavunjia mkataba club inaingia hasara kutokana Na fedha unazomlipa mchezaji ili kuondoka.


Kama hizo Pesa zingetumika vizuri kwa kusajili wachezaji wachache wa gharama Na kwenye Ubora simba isingekuwa timu ya kugombania nafasi ya 2 ni haibu kubwa sana sijui kwa nini Viongozi hawa bado wapo madarakani hawa ni wahujumu uchumi kabisa.


Kama simba itaendelea Na Viongozi hawa hawa basi yanga itakua bingwa haya x 10 mfululizo.
 
Mfumo uliopo unaibeba YANGA Simba sio mbovu ila inahujumiwa
Bado miaka 7 mingine ili itimie miaka 10 ya kuchukua ubingwa mfululizo. Na kazi yenu kubwa itakuwa ni hii pekee ya kutafuta sababu na visingizio.

Kwa hiyo kwa sasa siyo bahasha za GSM, uongozi mbovu wa Mangungu na Try Again! Wachezaji wazee, nk!! Badala yake timu kuhujumiwa! Nani huyo anayeihujumu timu yenu?
 
Mfumo uliopo unaibeba YANGA Simba sio mbovu ila inahujumiwa
Mkuu Mpira unachezwa hadharani, hiyo imani yako potofu ndo itafanya simba ikose nafasi ya pili na kuangukia kucheza shirikisho mwakani. Simba ni mbovu sote tunaona ikicheza hovyo , hata Prison walijipigia, kagera na kmc wakapata droo, Mechi nyingi simba imebebwa sana hadi aibu mf Singida big stars, Coastal union, Tabora United etc. Hakuna hujuma ni timu imeshuka kiwango.

Pamoja na pitch kuwa mbovu ina manundu , mipira haitulii chini na pitch inatakiwa kupigwa greda na kupandwa nyasi upya Sheikh Amri Abeid Arusha sijui meneja wa uwanja kwanini analipwa mshahara ila Yanga imeifunga Ihefu leo kibishi Arusha, kinachoibeba Yanga ni vita ya namba, morali ya wachezaji, kocha bora, mashabiki wenye kelele wanaojaza uwanja hadi watoto, Rais bora wa timu , msemaji kijana Simba my wetu mwenye hamasa na Yanga kuzoea kushinda maana ukiwafunga Yanga msako wake sio wa nchi hii. Hata waje Madrid wanakaa!

Nendeni msimbazi makolo mkalaumiane na kujipanga upya. Kila kolo anatafuta pa kuangushia jumba bovu!!!wewe umechagua hujuma, wengine mangungo, wengine Mo, wengine Fred, wengine Saidoo, wengine Zimbwe, wengine inonga!!! Wengine Kajulo ila Zimwi la kufeli lipo pale pale na bado mpaka mseme!!

Kombe la NBC ni mali binafsi ya Yanga kwa miaka kumi ijayo, je kuna kolo anabisha?
 
Mkuu Mpira unachezwa hadharani, hiyo imani yako potofu ndo itafanya simba ikose nafasi ya pili na kuangukia kucheza shirikisho mwakani. Simba ni mbovu sote tunaona ikicheza hovyo , hata Prison walijipigia, kagera na kmc wakapata droo, Mechi nyingi simba imebebwa sana hadi aibu mf Singida big stars, Coastal union, Tabora United etc. Hakuna hujuma ni timu imeshuka kiwango.

Pamoja na pitch kuwa mbovu ina manundu , mipira haitulii chini na pitch inatakiwa kupigwa greda na kupandwa nyasi upya Sheikh Amri Abeid Arusha sijui meneja wa uwanja kwanini analipwa mshahara ila Yanga imeifunga Ihefu leo kibishi Arusha, kinachoibeba Yanga ni vita ya namba, morali ya wachezaji, kocha bora, mashabiki wenye kelele wanaojaza uwanja hadi watoto, Rais bora wa timu , msemaji kijana Simba my wetu mwenye hamasa na Yanga kuzoea kushinda maana ukiwafunga Yanga msako wake sio wa nchi hii. Hata waje Madrid wanakaa!

Nendeni msimbazi makolo mkalaumiane na kujipanga upya. Kila kolo anatafuta pa kuangushia jumba bovu!!!wewe umechagua hujuma, wengine mangungo, wengine Mo, wengine Fred, wengine Saidoo, wengine Zimbwe, wengine inonga!!! Wengine Kajulo ila Zimwi la kufeli lipo pale pale na bado mpaka mseme!!

Kombe la NBC ni mali binafsi ya Yanga kwa miaka kumi ijayo, je kuna kolo anabisha?
Hilo kombe Simba alichukua mara nne mfululizo sasa iweje nyie mara tatu tu mnapiga kelele?
 
Kwa mwenendo huu naona club ya Yanga ikitawala league ya ndani kwa miaka mingi ijayo.

Sioni mipango mikubwa kutoka club ya Simba, Azam. Naona Mambo yale Yale yakiendelea.

Hofu yangu ni kwamba itakuwa kama ligi za south Africa, misri, Algeria, ambazo zinatawaliwa na club moja.

Ligi zinakuwa hazina Ushindani. Club moja kutawala ligi inapunguza radha ya mpira.

Yanga wanaonekana huko mbeleni watakosa mpinzani wa maana labda mashindano ya kimataifa.

Simba/Azam wajitahidi kuleta ushandani. Waache ujanjaujanja Wajifunze kutoka kwa Yanga la sivyo watapotea kwenye ramani ya mpira.
Umeongea ukweli..ongezea na ligi na Ufaransa(utawala wa PSG) kwa kule Ulaya.
 
Back
Top Bottom