Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Spair ni nini?N kwel rough road znapga lkn kwa mda tuu..... Spair n gharama....huwa baada ya miaka 3 znaaaza kuuwa vtu vngi including turbo.....inahitaj dereva makini maaana hii udereva wake sio sawa na fuso... Ndo mana bei si sawa na isuzu wala fight za ujazo huo...
Ikiwa bado mpya n gari kwel ila ikiaza kusumbua utaichukia.....
Usiharibu Uzi kaka, tumeelewa mbonaSpair ni nini?
Asante sana nimeelewaN kwel rough road znapga lkn kwa mda tuu..... Spair n gharama....huwa baada ya miaka 3 znaaaza kuuwa vtu vngi including turbo.....inahitaj dereva makini maaana hii udereva wake sio sawa na fuso... Ndo mana bei si sawa na isuzu wala fight za ujazo huo...
Ikiwa bado mpya n gari kwel ila ikiaza kusumbua utaichukia.....
Naharibu vipi?Usiharibu Uzi kaka, tumeelewa mbona
Bora umempiga nyundo wapo wengi sana humu!.Usiharibu Uzi kaka, tumeelewa mbona
Kama haujaelewa pita kushoto wenye magari wameelewa ndio maana comment umeziona hapo juu wewe peke Yako ndio unajifanya kichwa ngumu.Naharibu vipi?
Umeelewa wewe na nani?
Je mkielewa ninyi nami automatically naelewa?
Umeelewa nini?
Wenye magari wamesema hiyo maana yake nini? Ili sisi tusiyo nayo tujifunze kutoka KWENU wenye magari halafu HAMJUI VITU VYA MAGARI. 😁Kama haujaelewa pita kushoto wenye magari wameelewa ndio maana comment umeziona hapo juu wewe peke Yako ndio unajifanya kichwa ngumu.
Enhe ngoja nikae kimya😂Ninekuja hapa mbiombio, Kuna pahala nimeona wanaitangaza hii mashine. Nahitaji kujua machache kuhusu hii gari.
Mahitaji yangu ni
Ipaende na mzigo tani15
- Gari yenye kubeba Tani 15
- Gari inayo himili njia ngumu rough road
- Gari inayo himili milima mikali
View attachment 2729704View attachment 2729706View attachment 2729707
Spair ni nini?
Huu ushamba ndo umenishangaza kuwa wewe wa mjini hueleweki unaandika nini. Hiyo content unaipata kupitia audio? Maana kama maandishi ndo umeandika spair ambayo haieleweki ni nini. Sasa content napata wapi wa Mjini?Typing error we lofa...usi mind vitu vidogo...just take a content unaonekana ushamba haujakutoka