Naomba aliyemwelewa Waziri Dkt. Mwakyembe juu ya hili anisaidie kunielewesha tafadhali

Naomba aliyemwelewa Waziri Dkt. Mwakyembe juu ya hili anisaidie kunielewesha tafadhali

Status
Not open for further replies.
Jana alipopewa ' Fursa ' ya kuzungumza wakati wa ' Show ' ya Saida Karoli Waziri wa Habari, Michezo, Utamaduni na Sanaa Dkt. Harrison Mwakyembe alisema namnukuu " Nipende tu kutoa shukran kwa Waandaji na hasa kwa Msanii Saida Karoli kwa kuweza kuamka tena ila nipende tu kuwataarifu kuwa nimekuja hapa Kuburudika nanyi lakini Mke wangu Mpenzi hivi ninavyozungumza nanyi yupo ICU hivyo naomba wakati tunafurahi pamoja hapa basi pia tumuombee " mwisho wa Kumnukuu Waziri Dkt. Mwakyembe.

Mimi binafsi kama GENTAMYCINE sijamuelewa na hata ' moyo ' wangu hadi sasa ' unakataa ' kabisa kumuelewa kwa kile kitendo cha kumuacha ' Mkewe ' ICU halafu na ' kukimbilia ' Escape One ' kutiririka ' na ' kuserereka ' na Mwanamama Saida Karoli.

Naamini kabisa kuwa humu JF kuna ' Watu ' wengi ' Vichwa / Vipanga ' kabisa hivyo hamtashindwa kunisaidia ' kunielewesha ' juu ya hili jambo ili pengine baada ya ' Ufafanuzi ' wenu basi ' moyo ' wangu uweze ' Kufunguka ' rasmi na nimwelewe Waziri Mwakyembe.

Nawasilisha.
Ni kweli kabisa kuwa huwezi kumuelewa lakini ni vema ukaelewa yafuatayo;

1 Mh. Waziri alikuwa pale kikazi.

2. Anauguliwa na mkewe

3. ICU hairuhusiwi mtu kulala na mgonjwa.

4. Ni mtu wa watu na hivyo matatizo yake pia ni ya wote.
 
Umeruka maneno

Kama hukuyasikia yote mwenyewe nenda kaangalie video ya jana

Iliwekwa humu.

Mumuache Mzee wa watu alielezea kufikia hapo na maneno kayalete uweke sawa

Mkitaka kuuliza muwe mnanukuu kila neno sio kudakua tu.

Kwa kweli sio kitu cha kuandika na kumsema mtu, inalekea hujawahi kuuguliwa wewe... sijapenda huu uzi kabisaaaaaaaa

Siasa wakati mwingine zina mipaka kwenye maisha binafsi ya mtu.

Tumuombee Mama Mwakyembe apone haraka.
Maneno gani yaliyorukwa? Nawe usiwe taburarasa kama huyo ndugu yako. Umeshindwa kujua logic ya uzi unahimiza kurukwa kwa maneno.... think bigger
 
Maneno gani yaliyorukwa? Nawe usiwe taburarasa kama huyo ndugu yako. Umeshindwa kujua logic ya uzi unahimiza kurukwa kwa maneno.... think bigger

Usipoteze muda na huyo ' hopeless ' tafadhali Mkuu. Ameshadharaulika humu JF ' Kitambo ' sana.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Msiwe na wasiwasi, lazima aserebuke kwasababu mkewe ana life insurance
 
Jana alipopewa ' Fursa ' ya kuzungumza wakati wa ' Show ' ya Saida Karoli Waziri wa Habari, Michezo, Utamaduni na Sanaa Dkt. Harrison Mwakyembe alisema namnukuu " Nipende tu kutoa shukran kwa Waandaji na hasa kwa Msanii Saida Karoli kwa kuweza kuamka tena ila nipende tu kuwataarifu kuwa nimekuja hapa Kuburudika nanyi lakini Mke wangu Mpenzi hivi ninavyozungumza nanyi yupo ICU hivyo naomba wakati tunafurahi pamoja hapa basi pia tumuombee " mwisho wa Kumnukuu Waziri Dkt. Mwakyembe.

Mimi binafsi kama GENTAMYCINE sijamuelewa na hata ' moyo ' wangu hadi sasa ' unakataa ' kabisa kumuelewa kwa kile kitendo cha kumuacha ' Mkewe ' ICU halafu na ' kukimbilia ' Escape One ' kutiririka ' na ' kuserereka ' na Mwanamama Saida Karoli.

Naamini kabisa kuwa humu JF kuna ' Watu ' wengi ' Vichwa / Vipanga ' kabisa hivyo hamtashindwa kunisaidia ' kunielewesha ' juu ya hili jambo ili pengine baada ya ' Ufafanuzi ' wenu basi ' moyo ' wangu uweze ' Kufunguka ' rasmi na nimwelewe Waziri Mwakyembe.

Nawasilisha.

In a positive note. ... pengine kashinda huko kutwa, na ikafika jioni akaambiwa amuache mgonjwa apumzike au aangaliwe, then kupunguza mawazo kenda kupata burudani, hemu tuwe positive kidogo ndugu zangu ....
 
Nadhani utakuwa umenijibu ' Kimihemko ' na ukaongeza na ' Upumbavu ' wako ' uliokukomaa ' kwa muda mrefu. Kwa kukusaidia tu nimeandika huu ' uzi ' kwa masikitiko makubwa kutokana na kwamba hakuna jambo jema kama kutanguliza Kwanza Upendo wako kwa Mke / Mume wako hasa pale akiwa na shida / matatizo.

Hata kama ' utajitutumua ' kujifanya unamtetea Waziri Mwakyembe ila ukweli utabaki pale pale kuwa hayo maneno aliyasema pale ' Ukumbini ' na kwa faida yako tu siyo Mimi peke yangu ambaye nilishikwa na ' butwaa ' bali almost ' Njemba ' nyingi sana pale ' Esikepu Moko ' nazo zilimshangaa Waziri.

Jifunze kujenga ' Hoja ' na acha kuwa na ' Mahaba ' ya Kingumbaru / Kijinga na namalizia tena kwa kusema nikijiamini kabisa kuwa Waziri Mwakyembe jana hakumtendea haki ' Mkewe ' ambaye alikuwa hoi ' ICU ' na Yeye kwenda katika ' Show ' ya Saida Karoli. Kwa Mtu mwenye ' akili ' zilizomtosha hawezi kumuelewa.

Nasubiri urudi tena ili nizidi ' Kukufundisha ' jinsi ya ' Kufikiri '.
Mungu amnusuru imagine mkewe angefariki muda huo halafu watoto wanapata taarifa kuwa baba anaserebuka au mke anapata fahamu anauluza wapi yupo mpenzi anaambiwa anaserebuka na Miss Karoli si ataumwa tena!
 
Aisee ukiifikiria ICU kama ulishawahi kuingia au kufanya kazi ,,, na ukiangalia alichokisema mzee wetu "mwakyembe" majibu yanakua vigumu kupatikana…!

au mimi nafikiri kwa sababu ni mke wa waziri labda aliomba bed rest pale ICU kwa uangalizi wa karibu ila hali yake haikuwa mbaya kihivo,, lakini kama alipelekwa ICU kwa kuzingatia criteria za mgonjwa kuwa admitted ICU ,, basi anaetakiwa kuombewa hapa ni mwakyembe coz haelewi anachokifanya…!!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Jana alipopewa ' Fursa ' ya kuzungumza wakati wa ' Show ' ya Saida Karoli Waziri wa Habari, Michezo, Utamaduni na Sanaa Dkt. Harrison Mwakyembe alisema namnukuu " Nipende tu kutoa shukran kwa Waandaji na hasa kwa Msanii Saida Karoli kwa kuweza kuamka tena ila nipende tu kuwataarifu kuwa nimekuja hapa Kuburudika nanyi lakini Mke wangu Mpenzi hivi ninavyozungumza nanyi yupo ICU hivyo naomba wakati tunafurahi pamoja hapa basi pia tumuombee " mwisho wa Kumnukuu Waziri Dkt. Mwakyembe.

Mimi binafsi kama GENTAMYCINE sijamuelewa na hata ' moyo ' wangu hadi sasa ' unakataa ' kabisa kumuelewa kwa kile kitendo cha kumuacha ' Mkewe ' ICU halafu na ' kukimbilia ' Escape One ' kutiririka ' na ' kuserereka ' na Mwanamama Saida Karoli.

Naamini kabisa kuwa humu JF kuna ' Watu ' wengi ' Vichwa / Vipanga ' kabisa hivyo hamtashindwa kunisaidia ' kunielewesha ' juu ya hili jambo ili pengine baada ya ' Ufafanuzi ' wenu basi ' moyo ' wangu uweze ' Kufunguka ' rasmi na nimwelewe Waziri Mwakyembe.

Nawasilisha.
Kwa kuwa moyo wako tayari una mtazamo hasi dhidi ya alichokifanya Waziri Mwakyembe, naanini hata ukisaidiwa kwa kueleweshwa haitakuwa msaada kwako.

Kwa lugha nyingine ni kwamba katika wasilisho lako tayari umeshamhukumu.

Pengine ushauri na msaada wangu kwako ni kwamba, si kila ulionavyo jambo fulani wewe na kulichukulia kwa uzito na umuhimu ndivyo alionavyo mwenzako na kulichukulia kwa unuhimu huo huo. Hata kama angekaa palepale wodini bado isingesaidia kurudisha uhai wa mkewe.

Binafsi naunga mkono kwa alichofanya kwa sababu pengine ilisaidia kumpunguzia mawazo kwa kujichangany na watu, Na kwa kuwa unayemzungumzia kwa sasa ni marehemu, itoshe tu kuufunga huu mjadala kwani mapenzi ya mungu yametimizwa. Pole Mhe. Mwakyembe kwa kumpoteza ubavu wako. Mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki kigumu kwako. Amen.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Labda alitaka kuliwaza akili yake. Mtoa mada muhusika atakua na jibu kamili@mwpkembe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenivunja mbavu Genta

Karibu sana PEP na usiache kuifatilia JamiiForums 24/7 ili uweze kuendelea ' kuvunjika ' mbavu zako na GENTAMYCINE.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Mama mwakyembe amesha RIP

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom