Iphone kuna option ya kuweza kuzima data ya whatsapp usionekane online wala usipate meseg yotote ile,hivo hivo kwa App zote zilizopo unazima mobile data kwenye hio hio App usio hitaji kutumia muda huo hadi pale utakapo hitaji ndio unawasha Mobile data yake
Hiyo option inatapatikana wapi mkuu? Toa darasa la wazi
Unatumia simu aina gani mkuu??
Clear Data unafuta vitu vilioji save ktk hio DATA utakayo clear.
Force to Stop si kanakwamba inafuta tu bali hio hio App itafanya kuCorrupt kwasababu unaiazimisha kuisimamisha hali ya kuwa ina Run
Mkuu jaribu kuforce to stop [emoji113] au ku disabble App ya PLAYSTORE
hapo ndio utajua maana yake
Yaani hio simu utaitupia kabatini tu ama utaenda kuiflash ili faili zake zoote zitakazo corrupt zijipange upya.
Sasa kwa Iphone haina option hio ya kuilazimisha App
Option iliopo ni,,,kwa mfano naenda setting kisha naitafuta App ya whatsapp na click hapo ikifunga nashuka chini kabisa kuna sehem imeandikwa Mobile data hapo hapo naweka mobile data off
Hio sehem inakuwa umezima data kwa ajili ya whatsapp tu App zingine kama vile JF,IMO na zinginezo zinafanya kazi kama kawaida
Lkn kwa samsung ama simu zingine ukizima data inamaanisha ni simu nzima haitakuwa na mawasiliano yoyote ya App zenye kutumia internet data
Iphone 6+
Hata kwenye techno ipo hiyo, sema huku tuna-freeze app inakua offline mpk uitoe freeze.Clear Data unafuta vitu vilioji save ktk hio DATA utakayo clear.
Force to Stop si kanakwamba inafuta tu bali hio hio App itafanya kuCorrupt kwasababu unaiazimisha kuisimamisha hali ya kuwa ina Run
Mkuu jaribu kuforce to stop [emoji113] au ku disabble App ya PLAYSTORE
hapo ndio utajua maana yake
Yaani hio simu utaitupia kabatini tu ama utaenda kuiflash ili faili zake zoote zitakazo corrupt zijipange upya.
Sasa kwa Iphone haina option hio ya kuilazimisha App
Option iliopo ni,,,kwa mfano naenda setting kisha naitafuta App ya whatsapp na click hapo ikifunga nashuka chini kabisa kuna sehem imeandikwa Mobile data hapo hapo naweka mobile data off
Hio sehem inakuwa umezima data kwa ajili ya whatsapp tu App zingine kama vile JF,IMO na zinginezo zinafanya kazi kama kawaida
Lkn kwa samsung ama simu zingine ukizima data inamaanisha ni simu nzima haitakuwa na mawasiliano yoyote ya App zenye kutumia internet data
Mkuu florah ndo nani??Mkuu unawasiliana na frolah sana. Alafu unatumia Halotel
Sorry nimefanya mistake kwenye reply bossMkuu florah ndo nani??
[emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwenyeee kupokelewa hapooo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nia na madhumuni, unaweza kuweka codes na wote wasikupate mpaka watu muhimu...binafsi zipo siku maalum huwa napatikana kwa sms tu, na pia zipo siku huwa namba yangu ukipiga inapokelewa na huduma kwa wateja kama Dstv, Tigo na hata Tanesko
Poa mkuuSorry nimefanya mistake kwenye reply boss
Jamaa namchora tu anavyoisifia Iphone yake kupitiliza kwa kitu ambacho hata kwenye simu nyingine kipoHata kwenye techno ipo hiyo, sema huku tuna-freeze app inakua offline mpk uitoe freeze.
Na mimi pia mnijuze mkuu[emoji23] [emoji23]Wakikupa unijuze
Hata WhatsApp akupati mtu akikutafuta mkuu?Soooon, nitakutumia ya kuweka na kutolea.
*21*0027# kuweka
##21# kutoa
punguza madeniWadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
kwahyo utakuwa unaitumia kama calculator au Radio.huu ni utumiaji mbaya wa umemeNenda setting tafuta mahali palipoandikwa FLIGHT MODE weka on tayari hautapatikana.
Hiyo ni kwa calls tu.Hata WhatsApp akupati mtu akikutafuta mkuu?
bro sory msaada wako nimeapply lkn kufungua imefngua call tu lkn sms bado sizioni nikitumiwa nsaidieplseKufungua #21#