Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Unachunguza nini,ama umemchoka unatafuta sababu ya kuachana,utakayoyaona usije kufungua uzi wa kutuomba ushauri humuMi nataka jins yakusoma sms ya mpenz wsng
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachunguza nini,ama umemchoka unatafuta sababu ya kuachana,utakayoyaona usije kufungua uzi wa kutuomba ushauri humuMi nataka jins yakusoma sms ya mpenz wsng
tupe iyo mkuuKuna ile njia nyinginr amvayo unaingilia kwenye setting kidha unaweka namba yako na kuiongexa digits. Let say namb yako inaishia 7. Bas wewe unaongeza namba nyingine kwenye hiyo saba. Hapo ukisevu then mtu akipiga anaambiwa "namba unayopiga haipo, tafadhari andika kwa usahihi"[emoji23][emoji23]
Naomba hiyo ya tatu please Mshana Jr [emoji120][emoji120][emoji120]Njia ya kwanza
Nenda kwenye call setting
Kisha chagua barring/Barr call
Itakuletea option ya kubar chagua incoming calls
Kisha activate... Baadhi ya mitandao itahitaji password... Commonly used ni 0000, 1234, 000,123, 211,2121
Njia ya pili
Ingia call setting
Chagua divert option
Chagua all incoming calls
Kisha itakuomba no ya kudirvet
Utaandika namba halisi lakini huandiki yote
Yaani kwa mfano 0687 19202.. Namba moja ya mwisho huandiki kisha activate
Njia ya tatu ipo lakini siwezi kuiweka wazi hapa[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Tumia IPHONE tu ndio kiboko ya kila kitu[emoji1321]
Mkuu anatumia Atel calculate iliyochangamkakwanini usi blacklist hizo namba usizotaka zikupate..?
Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
TAZAMA kwenye setting,Wakuu simu yangu mimi ni TEKNO K7 ina wiki sasa kila mtu akinipigia anaambiwa niko busy wakati siko busy na wala sioni call yake... Shida nn na nafanyaje?
Piga #21## kwenye laini zote.... Utapatikana na tatizo litakwisha...Wakuu simu yangu mimi ni TEKNO K7 ina wiki sasa kila mtu akinipigia anaambiwa niko busy wakati siko busy na wala sioni call yake... Shida nn na nafanyaje?
Mkuu bado napuyanga sim card imegoma kufunguka
Daaaah hatimae nimefungua sim card yangu#35*0000#
Naiomba hiyo codenia na madhumuni, unaweza kuweka codes na wote wasikupate mpaka watu muhimu...binafsi zipo siku maalum huwa napatikana kwa sms tu, na pia zipo siku huwa namba yangu ukipiga inapokelewa na huduma kwa wateja kama Dstv, Tigo na hata Tanesko