Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hiyo inategemea na aina ya simuv
Mshana
Bro mshana hujatupa bado njia ya kublock na icoming sms, hii hapa inablock calls tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo inategemea na aina ya simuv
Mshana
Bro mshana hujatupa bado njia ya kublock na icoming sms, hii hapa inablock calls tu
Unatumia simu gani?Hasante Mkuu na Je kama nataka kuruhusu baadhi ya no?
kumbe kuna simu ukiblock incoming call automac na sms zinablockiwa?Hiyo inategemea na aina ya simu
Smart phone nyingi zina hiyo optionunataka kusema
kumbe kuna simu ukiblock incoming call automac na sms zinablockiwa?
je n sm gan hzo
Umepata ufumbuzi?Jamani mm naombeni msaada cm yangu haipokei cm wala kupiga cm ila sms na internet vina fanya kazi vzur tu... Tatizo cio line maana nimesha jaribu kuweka kwenye cm nyingine inapiga kazi vizuri na pia nikiweka line nyingine kwenye hii cm inafanya ivyo ivyo haipokei cm wala kupiga.. Naombeni msaada cm ni Huawei Y530-U00
Sent using Jamii Forums mobile app
#35*0000#Na kufungua je?
Ngoja wakuibie na salio ndio ukome kujaribu jaribu codes usizozijuaHuu uzi umesababisha nimefunga simu yangu bila kujua tangu juzi nikipiga simu hazitoki naombeni msaada wakuu.
Nikipiga simu naandikiwa ACM limit exceeded alafu inakata.
atapiga kwa namba nyingine atakupata.kwanini usi blacklist hizo namba usizotaka zikupate..?
Chattle 2na2ma kwa buspraystore inapatikana na huku chattle au hukohuko mjini?
Nimewahi kupewa hii ila nawaza kuitumia kwanini ina namba ya mtu?kwa voda *21*0754125125# hapa itakua hupatikani japo simu ipo on,lkn utapata sms kwa aliye kutafta
kutoa ##002#
Ndugu zangu mmeniponza nmefunga line nmeshindwa kuifunguakwa voda *21*0754125125# hapa itakua hupatikani japo simu ipo on,lkn utapata sms kwa aliye kutafta
kutoa ##002#