GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshimdwa kuupata...
Hasante Mkuu na Je kama nataka kuruhusu baadhi ya no?
imekubali kwenye namba moja..nyingine imegoma...
Shukrani mkuu..
Nenda setting tafuta mahali palipoandikwa FLIGHT MODE weka on tayari hautapatikana.
Mbinu yako ni kama yangu...sasa mimimi huwa hata DSTV sipatikani...halafu watu wasiojulikana nawachora kwa mbaliii jinsi wanavyohangaika.nia na madhumuni, unaweza kuweka codes na wote wasikupate mpaka watu muhimu...binafsi zipo siku maalum huwa napatikana kwa sms tu, na pia zipo siku huwa namba yangu ukipiga inapokelewa na huduma kwa wateja kama Dstv, Tigo na hata Tanesko
Bosi hapo amekuelewa...asipoelewa basi huyo ni popoma wa kiwango cha flyover...pia safari yangu kesho una taarifa nayo?Hiyo FLIGHT MODE hata ukiwa katika Daladala zetu hizi za Mbagala kwenda Mbande inakubali pia au mpaka uwe hewani tu na Ndege / Mbung'o?
Bosi usihangaike kuwajibu majibu marefu mapopoma kama hawa...ungeandika tu "mosoto" ingekuwa imetosha sanaWaya / Msoto / Vyuma Kukaza Mkuu.
Na namna ya kufungua
Duu hiyo kali [emoji16][emoji16]nia na madhumuni, unaweza kuweka codes na wote wasikupate mpaka watu muhimu...binafsi zipo siku maalum huwa napatikana kwa sms tu, na pia zipo siku huwa namba yangu ukipiga inapokelewa na huduma kwa wateja kama Dstv, Tigo na hata Tanesko
[emoji23][emoji23][emoji23]praystore inapatikana na huku chattle au hukohuko mjini?
Mkuu na ubize wote huo unapata wapi muda wa ku-select font, na ku-bold?Waya / Msoto / Vyuma Kukaza Mkuu.