Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Wala usiogope hii inaitwa call barring. Ukiset mtu yyte hakupati kwa sms wala kwa call. Ukipiga unaambiwa namba hii imefungiwa lkn ww unaweza kumpigia mtu na kumtumia sms.Haya mavitu unaweza zima simu permanent!!