Mjadala ulikwishafungwaNaweka kambi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjadala ulikwishafungwaNaweka kambi hapa
Acha uongonia na madhumuni, unaweza kuweka codes na wote wasikupate mpaka watu muhimu...binafsi zipo siku maalum huwa napatikana kwa sms tu, na pia zipo siku huwa namba yangu ukipiga inapokelewa na huduma kwa wateja kama Dstv, Tigo na hata Tanesko
Okay Mr Cosmetics. Uwongo uko wapi apo. You everything?Acha uongo
[emoji1][emoji1][emoji1] jamaani simcard yangu ya Tigo mpaka leo haijawah kufungukaDaaaah hatimae nimefungua sim card yangu
😂😂😂😂😂😂😂 Mimi nilifunga kama miezi mitatu nilikuwa napokea tu na kutuma text ila nimefanikiwa kuifungua[emoji1][emoji1][emoji1] jamaani simcard yangu ya Tigo mpaka leo haijawah kufunguka
Baada ya kuangalia jamaa uliye mtag #35*0000# imenisaidia kuifungua. Aisee hii mitandao inasaidia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi nilifunga kama miezi mitatu nilikuwa napokea tu na kutuma text ila nimefanikiwa kuifungua
Huku kujaribu jaribu bhn😂😂😂😂😂Baada ya kuangalia jamaa uliye mtag #35*0000# imenisaidia kuifungua. Aisee hii mitandao inasaidia [emoji23]
[emoji1787][emoji1787] ndo kujifunza lakini Dah. Bado natamani niijue ya voda maana ilikataaHuku kujaribu jaribu bhn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ingine #*35# au #35#[emoji1787][emoji1787] ndo kujifunza lakini Dah. Bado natamani niijue ya voda maana ilikataa
Kujitoa je Maana Ndo kashesheKuna ingine #*35# au #35#
Hiyo ndio kujitoa lock mwisho inaishia na *Kujitoa je Maana Ndo kasheshe
Aaaa apo sawa nimekupata pamoja sana mkuuHiyo ndio kujitoa lock mwisho inaishia na *
Hamnaga uzamani kwenye kujifunza, mtu kama hulijui jambo ni jipya kwako. Huu ndo utofautiHaya mambo ya zamani sana
Ulifanyeje pliiz😂😂😂😂😂😂😂 Mimi nilifunga kama miezi mitatu nilikuwa napokea tu na kutuma text ila nimefanikiwa kuifungua
Hahahahahahaha tayari mkuu nawe ushablock ok *35# kama nakumbukaUlifanyeje pliiz
Nenda kwenye call divert.. Divert all voice calls kwenda 100.Anaejua code za ttcl nisipatikane hewani ila text zije anisaidie