Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Unafikiri angekuwa na hyo bodaboda angeomba ushauriBodaboda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri angekuwa na hyo bodaboda angeomba ushauriBodaboda
Angeomba tu mkuu,ushauri upo wa mambo mengi mkuuUnafikiri angekuwa na hyo bodaboda angeomba ushauri
Mahusiano ni muhimu tena sna ila apate mtu sahihiBarikiwa pia bro....jitahidi usiingie kwenye mahusiano mpaka ujipate kimaisha...ndoa bila mkwanja mwanaume unateseka
Ni kweli mkuuMahusiano ni muhimu tena sna ila apate mtu sahihi
.
Ningekupa wazo zuri sana kijana upo mkoa gani?Wakuu bila shaka mu wazima wa afya.
Baada ya hustle za hapa na pale, kuandika nyuzi kadhaa humu na reply kedekede nikitafuta kazi hatimae nilipata, japo sio kutoka humu ni connection tu ya jamaa yangu niliesoma nae.
Hii kazi nina miezi nayo 4 mpaka sasa, mshahara wake kiukweli sio mkubwa hasa kwa matumizi ya jiji hili.
Nalipwa 250k kwa mwezi, na kazini natumia muda mrefu kidogo japo speed yangu ndo itaamua nitoke saa ngapi kazini.
Sasa kutokana na hilo, kijana wenu nimekuja kuomba ushauri, nasaha, connection, michongo ambayo ninaweza kuifanya baada ya kazi.
Naomba mnisaidie kimawazo wakuu, kuna muda unawaza mambo mengi akili inastac, unajikuata huwazi kitu sasa upo upo tu unaexist ila huishi.
Natanguliza shukrani.
Kama taarifa haijitoshelizi basi nipo kuwajibu.
Nipo Dar es Salaam mkuu.Ningekupa wazo zuri sana kijana upo mkoa gani?
Shukran mkuukama una mtaji hata wa 200K tafuta kibanda jioni uza hapo vinywaji hasa visungura mkuu utakuja kunishukuru, vile vibanda unaweza kuviona vya kawaida ila kuanzia saa moja hadi saa tano unaweza kupata faida si chini ya 15k unahakikisha tu vinywaji vyote vikali vipo plus energy mna maji uwatafute na wale watu wa dubwi wakuwekee hapo watu wacheze kamali.
nb hiyo mishe nipe na mimi connection basi nipo bench napiga udalali haulipi
Shukran mkuu
Mkuu naomba mchongo huo na mm PM kwangu inagoma natumia web,0625541187 whatsapp npo dar.Nipm mkuu kama upo dar.