Naomba connection au ushauri wa mchongo wa kufanya baada ya saa za kazi

Naomba connection au ushauri wa mchongo wa kufanya baada ya saa za kazi

Wakuu bila shaka mu wazima wa afya.

Baada ya hustle za hapa na pale, kuandika nyuzi kadhaa humu na reply kedekede nikitafuta kazi hatimae nilipata, japo sio kutoka humu ni connection tu ya jamaa yangu niliesoma nae.

Hii kazi nina miezi nayo 4 mpaka sasa, mshahara wake kiukweli sio mkubwa hasa kwa matumizi ya jiji hili.

Nalipwa 250k kwa mwezi, na kazini natumia muda mrefu kidogo japo speed yangu ndo itaamua nitoke saa ngapi kazini.

Sasa kutokana na hilo, kijana wenu nimekuja kuomba ushauri, nasaha, connection, michongo ambayo ninaweza kuifanya baada ya kazi.

Naomba mnisaidie kimawazo wakuu, kuna muda unawaza mambo mengi akili inastac, unajikuata huwazi kitu sasa upo upo tu unaexist ila huishi.

Natanguliza shukrani.
Kama taarifa haijitoshelizi basi nipo kuwajibu.
Ningekupa wazo zuri sana kijana upo mkoa gani?
 
kama una mtaji hata wa 200K tafuta kibanda jioni uza hapo vinywaji hasa visungura mkuu utakuja kunishukuru, vile vibanda unaweza kuviona vya kawaida ila kuanzia saa moja hadi saa tano unaweza kupata faida si chini ya 15k unahakikisha tu vinywaji vyote vikali vipo plus energy mna maji uwatafute na wale watu wa dubwi wakuwekee hapo watu wacheze kamali.

nb hiyo mishe nipe na mimi connection basi nipo bench napiga udalali haulipi
 
kama una mtaji hata wa 200K tafuta kibanda jioni uza hapo vinywaji hasa visungura mkuu utakuja kunishukuru, vile vibanda unaweza kuviona vya kawaida ila kuanzia saa moja hadi saa tano unaweza kupata faida si chini ya 15k unahakikisha tu vinywaji vyote vikali vipo plus energy mna maji uwatafute na wale watu wa dubwi wakuwekee hapo watu wacheze kamali.

nb hiyo mishe nipe na mimi connection basi nipo bench napiga udalali haulipi
Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom