Naomba Connection ya Kazi

Naomba Connection ya Kazi

Joined
Feb 11, 2023
Posts
14
Reaction score
15
Habari zenu Wakuu.

Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua.

Nawaomba sana, Nikipata kazi ya kulipwa kwa siku angalau 5,000.

Naishi Dar es salaam, Najua kutumia Kompyuta vizuri sana, Elimu kidato cha 6.

Mbarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom