Modereta
Senior Member
- Jul 24, 2008
- 164
- 17
Wazo zuri, kupata ushauri wa wana jamii wenzako. Ila tu mimi si designer ila uzeofu wangu katika hili (nimejenga nyumba tatu) tengeneza wazo lako mwenyewe unachotaka ndipo umtafute mtu mwingine aongezee utaaluma, utapata kitu kizuri kwa moyo wako. Kumbuka ukifanyiwa kitu ambacho kina utata kidogo utaishi na hiyo nyumba mapaka uihame au ufe, hivyo hakikisha moyo wako umeridhika.
wanasema designer mzuri wa jiko ni mpishi na sio mtengenezaji.
wanasema designer mzuri wa jiko ni mpishi na sio mtengenezaji.