Hadi kufikia miaka ya mwishoni mwa 1980's sehemu kubwa ya insuline kwa matumizi ya binadamu ilitengenezwa kutokana na nguruwe. Baada ya hapo ndipo mbadala wa kutotumia malighafi ya nguruwe iligundulika. Kwa kweli nguruwe acha tu apewe maua yake. Huyu mnyamaa anatufaa sana kwa tiba na kitoweo murua.Nguruwe ni Haram kuliwa,huko nyuma chanjobya UTI wa mgongo ikitengenezwa kwa Mali ghafi baadhi toka kwa nguruwe na Saudi Arabia usingeenda hijjah bila chanjo hiyo,mpaka Malaysia au Indonesia walipogundua chanjo kutumia palms,pombe ni Haram kwenye uislam lakini pombe ipo kwenye dawa mbalimbali,haishangazi kiungo Cha nguruwe kufanya kazi kwa binaadam,nguruwe na binaadam wanashabihiana ndiyo maana Haram kumla,ni sawa na kumla binaadam mwenzio
Wanakula mafuta ya omnivores mwenzao,binam yaoHadi kufikia miaka ya mwishoni mwa 1980's sehemu kubwa ya insuline kwa matumizi ya binadamu ilitengenezwa kutokana na nguruwe. Baada ya hapo ndipo mbadala wa kutotumia malighafi ya nguruwe iligundulika. Kwa kweli nguruwe acha tu apewe maua yake. Huyu mnyamaa anatufaa sana kwa tiba na kitoweo murua.
Kule Ukraine wanakula mafuta yake bila kupika wenyewe wanaita Salo. Inasaidia sana kwenye baridi kali inaupa mwili joto
elimu/fatawa ni jambo zuri mtu kuwa nayo au kuipata ila unaipata kwa nani? Je unajua sanadi yake ya ilmu?
unajua madhehebu yake? Kuna siku nimeenda sabasaba mwaka huu pale uhasibu nikapita moja katika banda la dini madhehebu ahmadiya ambayo yapo sana India na nafikiri wameanzia huko ambayo kuna bwana wanamuitakidi kuwa alikuwa mtumi nimesoma kipeperushi chao baada ya kufika home asee ndio nikagundua kumbe ni watu wale
Shukran mkuu wangu , nimekuelewa sana. Naona uchache wangu wa elimu ndio umenifikisha huku.Ndugu BARDIZBAH jf ni platform kubwa sana unaweza pata utatuzi wa majambo mengi sana yanayokutatiza katika upande wowote, naamini humu kuna viongozi Wa dini tena dini zote pia kuna watu wana elimu tena elimu zote
ila kwa fatawa, yaani kwani ilmu ya kiislamu ninayoijua Mimi, basi huwa haipataikani namna hii unayotaka wewe
it's a wrong way! Kwanini?
Kwahiyo mambo kama sanadi, itikadi, madhehebu, manhaji lazima uijue ya mtu unaetaka kupokea ilmu au fatwa kutoka kwake ndugu yangu
Sijasema majibu yaliyotolewa hapo ni rongo au kweli maana Mimi mwenyewe wala sjui hukmu yake ila nakutahadharisha tu kuwa hakuna wahyi huku eeh unless you communicate with someone you know kupitia mtandao hapo hamna neno maana ni just means ya communication ila sio hii ya kurusha kokoro kwenye maji alafu unataka sato tu eti kambare hutaki utakuwa muongo.
Weka ushahidi uharamu wa nguruwe!ππNguruwe ni Haram kuliwa,huko nyuma chanjobya UTI wa mgongo ikitengenezwa kwa Mali ghafi baadhi toka kwa nguruwe na Saudi Arabia usingeenda hijjah bila chanjo hiyo,mpaka Malaysia au Indonesia walipogundua chanjo kutumia palms,pombe ni Haram kwenye uislam lakini pombe ipo kwenye dawa mbalimbali,haishangazi kiungo Cha nguruwe kufanya kazi kwa binaadam,nguruwe na binaadam wanashabihiana ndiyo maana Haram kumla,ni sawa na kumla binaadam mwenzio