Uchaguzi ulishaisha sasa hivi nikienda nitaambiwa sikuwa sehemu ya ilani ya Chama!!NGOJA TUMTAFUTE AKUTUMIE NAULI NA HELA YA GUEST, tatizo alikuwa anatumia simu ya kitochi sijui kama ana smartphone.
Ila kama unajiamini nenda kwenye ofisi ya mbunge hapo Geita onana na KATIBU WA MBUNGE atakusaidia kuongea na Mh. Msukuma.
Ha ha haUchaguzi ulishaisha sasa hivi nikienda nitaambiwa sikuwa sehemu ya ilani ya Chama!!
Mpigie Mbunge wako:+255784141000 asipopokea mtumie TEXT kisha niforwardie.HIO TEXT.All the BESTNGOJA TUMTAFUTE AKUTUMIE NAULI NA HELA YA GUEST, tatizo alikuwa anatumia simu ya kitochi sijui kama ana smartphone.
Ila kama unajiamini nenda kwenye ofisi ya mbunge hapo Geita onana na KATIBU WA MBUNGE atakusaidia kuongea na Mh. Msukuma.
Mpigie Mbunge wako:+255784141000 asipopokea mtumie TEXT kisha niforwardie.HIO TEXT.All the BESTMunger wangu ni Joseph kasheku Msukuma
Wasabato hawana Ushirikiano...WASABATO NJOONI MUMSAIDIE NDUGU YENU HAPA.
Ukweli uliposema unatokea geita plus msabato nilitaman kukusaidia nauli..kwa hii comm3ent yako basi nakuombea tu kila la heri..salimia kaburi lenu chato .Hawapokei simu zangu!!!!
Namkumba sana Hayati JPM
Hakuna msabato hapo!Ukweli uliposema unatokea geita plus msabato nilitaman kukusaidia nauli..kwa hii comm3ent yako basi nakuombea tu kila la heri..salimia kaburi lenu chato .
Ila dah....inahitaji wito...documents zote hizoHuyo hapo nadhani atakuwa msabato jina
Kama anaijua kanuni ya wasabato wala asingejianika humu
Wasabato tuna utaratibu wa kusaidiana kiroho na kimwili kwa mgeni kutoka kona yoyote ya dunia
Cha msingi, awe na barua ya utambulisho kutoka kanisa lake mahalia, awe na cheti chake cha ubatizo kinachoonesha uwajibikaji wake ktk kanisa lake mahalia, barua iwe na namba ya karani wa kanisa namba ya shemasi mkuu, na namba ya kiongozi wake wa kikundi (darasa) anachojufunzia lesoni! Aje na vielelezo vyote hivyo avifikishe kwenye kanisa lolote la ki Adventist, hapo atasaidiwa kula, kulala, na nauli ya kumrudisha kwao atapewa! MALANATHA!
Kanikwaza hata mm seriousUnaomba msaada kisha unaingiza siasa, utakosa msaada, ukipata msaada nenda makuru kuna guest house ya bei nafuu last week na mm nlikua hapo
All the best
Ushahidi unaoutoa kumbuka Mungu anakuona! Umesema unapoishi mmeanzisha kanisa! Kanisa la kisabato halianzishi na mtu binafsi[emoji23][emoji23][emoji23], na mchungaji wa kisabato hajipangii safari ya kikanisa[emoji28][emoji28]. Makongamano yote ya ki Adventist yanakuwa undercontrol misheni!Ila kama kuna ukweli mkuu...sio najisifu ila nnapoishi tumeanzisha kanisa la mtaa...bas nasali fresh tu...na kwenye michango honestly nasapoti sana...hata ikitokea mchungaji anaenda mbali kama kuna michango mie natoaga parefu kuliko....natoa tu naamini Mungu atanibariki zaidi...bas feb nikakumbwa na corona...nadhan tulianza ugua siku 1 na hayati Magu aise[emoji38]...jamani sijaenda kanisan 3 wks hakuna hata mtu alokuja nisalimia wa kanisani ..zaidi zaidi walikuja watu baki...unajua nilishangaa ...hahaa nililipopona nikaanza sali mjini almost 20kms...bas nilimwambia muumini 1 nikamwambia sijajiskia poa akajibu tuliogopa mbwa wako wakali..shenz typ ninahamia town mazima
Umeanza kwa kujieleza vyema sanaHabari wapendwa!!
Natumaini mko salama kabisa, Ndugu zangu mimi nimeitwa Dodoma kwa ajili ya usaili/interview lakini sasa changamoto ni Makazi maana kifedha niko vibaya sana nauli yenyewe Naunga unga tu, ili nifike nijaribu Bahati Yangu, hivyo naomba mwenye msaada wa kunihifadhi ili nikifika nifanye interview baada ya hapo ,nikae kae nitafute nauli ya kunirudisha ,Mimi ni kijana (Mwanaume) Mwenye miaka 25 dini Yangu Mkristo (msabatho)
No ya simu 0768464901
Mungu awabariki sana
Huyu kijana mwenzako akakutoa kwenye mstari na lengo lakoHata Zungu anayetaka kutuongezea kodi kwenye simu?!
Ukaonyesha utovu mkubwa wa nidhamu na jinsi rangi yako halisi ilivyo.Dah Mamaeeeeeh
Mwache tu apate shida au sioUkweli uliposema unatokea geita plus msabato nilitaman kukusaidia nauli..kwa hii comm3ent yako basi nakuombea tu kila la heri..salimia kaburi lenu chato .
Duh nipo hapa kanisani,maisha haya...ndio ninaposali nikiwa Moro.Ila kama kuna ukweli mkuu...sio najisifu ila nnapoishi tumeanzisha kanisa la mtaa...bas nasali fresh tu...na kwenye michango honestly nasapoti sana...hata ikitokea mchungaji anaenda mbali kama kuna michango mie natoaga parefu kuliko....natoa tu naamini Mungu atanibariki zaidi...bas feb nikakumbwa na corona...nadhan tulianza ugua siku 1 na hayati Magu aise[emoji38]...jamani sijaenda kanisan 3 wks hakuna hata mtu alokuja nisalimia wa kanisani ..zaidi zaidi walikuja watu baki...unajua nilishangaa ...hahaa nililipopona nikaanza sali mjini almost 20kms...bas nilimwambia muumini 1 nikamwambia sijajiskia poa akajibu tuliogopa mbwa wako wakali..shenz typ ninahamia town mazima
Ndio iko hivyo kuepuka matapeli na wezi kama hao wanaojiita wasabato kulitukanisha kanisa huku hata mlango wa kanisa hawaujui. Pia kwa muumini hai wa kanisa lolote hizo sio nyalaka ngumu. Maana kama cheti cha ubatizo unakuwa nacho mwenyewe tangu kubatizwa kwako. Hiyo barua unaenda kuchukua tu chap maana ww tayari kanisa linakutambua kupitia cheti chako cha ubatizo.Ila dah....inahitaji wito...documents zote hizo