Ha ha ha. Dogo una cheti cha ubatizo? Una barua ya kutoka mahali unapoabudia? Kama huna ujipange[emoji3]Yesu Anakuja!!
Unachukulia vitu simple sana kwa vile havijawahi kukutokea, mimi ku display dhehebu haimaanishi kuwa nisaidiwe na wasabatho tu no ila its my proud, ni sawa na wewe kujitambulisha mtanzania nje ya nchi
Bado Wapo DodomaLile genge la wasukuma wakiwamo Mfalme msukuma, bashiri, mpole mpole nk kwani wameshaondoka bungeni?
Afikie SDA Church Hapo DodomaHa ha ha. Dogo una cheti cha ubatizo? Una barua ya kutoka mahali unapoabudia? Kama huna ujipange[emoji3]
Kweli mkuu. Ila naamini mdogo wetu atapata msaada. Jf kuna madon huwa wanasomag kimya kimya watamsaidia.Afikie SDA Church Hapo Dodoma
Amen.Hakika Naamini kabisa hata Mimi
Mungu ni wetu sote
Maneno mengi sana mkuu utaharibu, au ulikuwa unatania kuhusu hiyo interview,?Ndio shujaa wa Africa 🌍
Kwahiyo Mimi Tapeli ndugu yangu sio!!Matapeli mnakuja na mbinu mpya kila kukicha
Kuna mtu kaji mwambafai kishenz kwenye huu uzi.
Kila thread akipita lazima awe na kauhusika flan na kujiweka juu.
Dah JF is a jungle.
Kuna watu wanajua kujitapa jamani nye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani huyo humu mna vituko [emoji23][emoji23]
Mkuu wewe ni Mnyalukolo? Maana watu wa huko hupenda sana kutumia maneno hayo "nye", "mwe" "bwaana" "kwa kweli"Kuna watu wanajua kujitapa jamani nye
Jana ndo nimeamini jf ina matapeli sijawah fikiria kwa ukubwa huu...sijasema mtoa mada tapeli..ila kuna if fulani jana niliibamba mwishoe akakiri uwii🤣🤣! Anywys nimemsamehe bure kwasababu ni kwel8 maisha magumu..ila dah🙌Matapeli mnakuja na mbinu mpya kila kukicha
Jazia nyama ueleweke mkuuJana ndo nimeamini jf ina matapeli sijawah fikiria kwa ukubwa huu...sijasema mtoa mada tapeli..ila kuna if fulani jana niliibamba mwishoe akakiri uwii[emoji1787][emoji1787]! Anywys nimemsamehe bure kwasababu ni kwel8 maisha magumu..ila dah[emoji119]
Ah...kuna watu wana id zaidi y 3...id hii anaomba msaada huu.,id ya 2 anakuambia anauguliwa gonjwa kubwa sana ,ya 3 anaomba mtaji..ss juzi nilimgundua 1 😀!akaomba msamaha maisha magumu ..!Mungu atusaidieJazia nyama ueleweke mkuu
Dah, noma sana.Ah...kuna watu wana id zaidi y 3...id hii anaomba msaada huu.,id ya 2 anakuambia anauguliwa gonjwa kubwa sana ,ya 3 anaomba mtaji..ss juzi nilimgundua 1 [emoji3]!akaomba msamaha maisha magumu ..!Mungu atusaidie