Ndio maana inabidi iwepo sheria ya uwazi maana akija mwingine mwenye swaga za jiwe anaminya tena.Mbona enzi za JK ulikuwepo huu uwazi?
Bila katiba mpya tutaendelea kupigwa sana.Ndio maana inabidi iwepo sheria ya uwazi maana akija mwingine mwenye swaga za jiwe anaminya tena.
Mungu anaipenda sana Tanzania... eti wapinzani walituchelewesha sana! Mtu mjinga ni mjinga tu hata awe na kisomo cha level gani!
Bila katiba mpya tutaendelea kupigwa sana.
Unajidanganya, hakuna mwanasiasa muwazi, hayo uyaonayo ni vile yamevuja.Nafikiri hii ni glasnost yetu. Mambo mengi japo si yote ya nchi ni vema kuwa wazi. Watu wayajadili na kutoa maoni yao mbalimbali.
Mambo ya umma yanatakiwa kuwekwa wazi na kujadiliwa kwa uhuru. Hapo ndiyo tutaepuka mambo kama yaliyotokea miaka mitano ya JPM.
Sasa hili suala lisiachwe kwa Rais tu. Liwekwe kwenye Sheria na Kanuni ili kila kiongozi alazimike kulifuata atake asitake. Kusiwepo na habari za uongouongo na takwimu za kupika.
Ni vema pia kuwe na Sheria juu ya adhabu kwa kiongozi atakayebainika kusema uongo na kupika takwimu.
Ni kweli tatizo la nchi nyingi za Africa hakuna sheria imara, mambo mengi ni matamko ya watawala majukwaani.Nafikiri hii ni glasnost yetu. Mambo mengi japo si yote ya nchi ni vema kuwa wazi. Watu wayajadili na kutoa maoni yao mbalimbali.
Mambo ya umma yanatakiwa kuwekwa wazi na kujadiliwa kwa uhuru. Hapo ndiyo tutaepuka mambo kama yaliyotokea miaka mitano ya JPM.
Sasa hili suala lisiachwe kwa Rais tu. Liwekwe kwenye Sheria na Kanuni ili kila kiongozi alazimike kulifuata atake asitake. Kusiwepo na habari za uongouongo na takwimu za kupika.
Ni vema pia kuwe na Sheria juu ya adhabu kwa kiongozi atakayebainika kusema uongo na kupika takwimu.