Hongera kaka mkubwa, una moyo mnene.Nitazungumza nae kuhusu tatizo lake kwa upendo,kisha nitamwambia madhara ya hiyo kitu,akishajua nitamuuliza kama yuko tayari kuacha,kama jibu ni ndiyo tutatafuta tiba ya ushauri na hatimae ataacha,sitaonesha kumnyanyapaa,bali nitalichukulia kama tatizo la familia na sio lake mwenyewe!
Hapo na wewe inabidi ujifunze kutumia mtandao, au umuache...
Sometimes great singersjf the home of great thinkers
Nitazungumza nae kuhusu tatizo lake kwa upendo,kisha nitamwambia madhara ya hiyo kitu,akishajua nitamuuliza kama yuko tayari kuacha,kama jibu ni ndiyo tutatafuta tiba ya ushauri na hatimae ataacha,sitaonesha kumnyanyapaa,bali nitalichukulia kama tatizo la familia na sio lake mwenyewe!
ndo hicho kinachonifanya nisioe
Nitazungumza nae kuhusu tatizo lake kwa upendo,kisha nitamwambia madhara ya hiyo kitu,akishajua nitamuuliza kama yuko tayari kuacha,kama jibu ni ndiyo tutatafuta tiba ya ushauri na hatimae ataacha,sitaonesha kumnyanyapaa,bali nitalichukulia kama tatizo la familia na sio lake mwenyewe!
hebu iweke kwa kiswahili kina namanjogoro tukuelewe