Naomba jibu sahihi

Naomba jibu sahihi

Nitazungumza nae kuhusu tatizo lake kwa upendo,kisha nitamwambia madhara ya hiyo kitu,akishajua nitamuuliza kama yuko tayari kuacha,kama jibu ni ndiyo tutatafuta tiba ya ushauri na hatimae ataacha,sitaonesha kumnyanyapaa,bali nitalichukulia kama tatizo la familia na sio lake mwenyewe!
Hongera kaka mkubwa, una moyo mnene.
 
Nitazungumza nae kuhusu tatizo lake kwa upendo,kisha nitamwambia madhara ya hiyo kitu,akishajua nitamuuliza kama yuko tayari kuacha,kama jibu ni ndiyo tutatafuta tiba ya ushauri na hatimae ataacha,sitaonesha kumnyanyapaa,bali nitalichukulia kama tatizo la familia na sio lake mwenyewe!

majibu ya kinafiki hayo!!! Mwanaume yeyote duniani hata kama nae huwa anafunua watu wengine lazima atapanic na atamuuliza nani anamfunua tigo siku zote, halafu bila kujali watoto wala majirani wala ndugu atapewa kilicho chake aendelee na tabia yake na watu wake!
 
dah ntajua tyr kuna watu wanashalongalonga na hyo tigo,kiukweli itaniuma sn by itabd tuwekane sawa.
 
Nitazungumza nae kuhusu tatizo lake kwa upendo,kisha nitamwambia madhara ya hiyo kitu,akishajua nitamuuliza kama yuko tayari kuacha,kama jibu ni ndiyo tutatafuta tiba ya ushauri na hatimae ataacha,sitaonesha kumnyanyapaa,bali nitalichukulia kama tatizo la familia na sio lake mwenyewe!

........is this practical?
 
Kama hua unakula tigo utamkula ili afurahi, kama hua hufanyi utamwambia ushindwe wakati huo unamtolea makago yake nje arudi kwao akawambie vizuri kwanini umemtupia mizigo yeke nje.
 
Ni mtazamo wako mkuu, unaweza ukawa hupendi mwenzako kumbe anapenda, ni jambo la kawaida sana now days thus why ukakuta yeye anapenda hiyo mambo, ni wewe tu, ukilileta jamvini usitegemee jibu sahihi, yote ni sahihi, kumla,kuliwa tigo ni personal feelings

Ila kwa mimi na dis sana tigo Kwanza ni kinyume na imani yangu na alaye au kuliwa tigo amelaaniwa,na pili ile kitu ni dirty unaweza ibuka na vipande vya mbegu za mapera(Guava)
 
Back
Top Bottom