Naomba Jibu



Marahaba, Hapo kwenye rangi nyekundu maana yake aisee ni ipi?
 
koh koh koh!....

baada ya kukohoa kidogo nawatakia wote kwa ujumla wenu weekend njema
 
Eeeheeee....Chinekeee...heyyyy...lol..
 
Duh!Mchungaji hili bomu nomaa!
 
Hii thread imenipitaje chaudele mie!!!
Baba Mchungaji hapa umegonga ikulu! Ngoja nichukue kalamu na karatasi nijiandae.
 
Hii thread imenipitaje chaudele mie!!!
Baba Mchungaji hapa umegonga ikulu! Ngoja nichukue kalamu na karatasi nijiandae.

Nakusubiria mamito! Wanaume wengi wameukimbia maana ni ukweli wasioupenda usikia
 
Nakusubiria mamito! Wanaume wengi wameukimbia maana ni ukweli wasioupenda usikia
Hah Mchungaji nahisi nami ninakaribia kukimbia loh! Kumbe hizi I love You's kibao ninazopewa ni kwa kuwa bado SIJAFUNGUKA! So nikishaolewa hazitokuwepo tena!!

Ngoja nimsome vizuri Afro Denzi hapo juu, narudi
 
It is easier to tell a girl friend AMA Kimeo kingine that" I love you" than a wife!! Hayo maneno ni magumu kuyatamka kwa demu uliyepigana Naye mikasi in men's perspective kwanini? I love you before I see your chupi n nyonyo ni rahisi !!! Saidia
Dah hakika si swali rahc hili Baba Mchungaji. Nitajaribu kufikirisha hiki kichwa changu chenye rasta!
Kwanza ni kweli kuwa I love U hutumika sana mwanzoni mwa mapenzi/mahusiano. Na hii hutumika sana kwa kuwa smone need to make that someone special believe him kuwa anampenda kweli. He need to cement that idea ya kuwa anampenda ili amkubali either kumvulia teitei, kuwa kimada/kimeo au awe wife.

After succeeding, mwanaume hana haja tena ya kuendelea kumshawishi mwanamke kuwa anampenda as long as bado wako pamoja. Na badala yake task inageukia kwa mdada ambaye sasa ndie mwenye kuimba 143's mpaka inakera kwa sababu anataka kumkeep huyu mwanaume.
 
Wanaume bana! Hapo ndo tunapowashinda akili na ujanja wa mjini! Kwani kama wakati ukimfukuzia ulimuambia 'I lavuu yuuu' na akafunguka, as long as unahitaji aendelee kuwa mke mwema kwako itakugharimu sh ngapi kuendelea kumuambia? Mie nimeshuhudia mtu anaimbisha mdada mwingine na kila akiongea na mkewe anamuambia 'I lavuu yuu'. Nyumbani shwari, mtaani kama alivyopanga. Ngoja nisiseme sana, mweh!
 

Hahahaha umenena mpendwa halafu mara nyingi ukisikia mbaba anakazania I love you ndoani ujue kaharibu anabembeleza amani irudi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…