Bonyeza *102# ziko hapo Mkuu.Nisaidie majina yako na ya mkeo tuone tunafanyaje mkuu
Diko FreshiWadau. Mini na Shemeji yenu tumeamua tuanzishe Biashara ya CHAKULA kwa maana Mgahawa Pamoja na Catering. Tutakuwa tunafanya delivery.
Shida yetu hapa ni jina la Biashara lenye kuvutia wateja.
Kwa vile najua humu JF ni wajuvi wa mambo. Naomba mtusaidie jina la biashara.
kwa hilo jina, watakula waswahili tuDiko Freshi
Haya basi waite āHeavenly Eatsā ili waje ndugu zenu waigizaji wa maisha toka instagram na washua toka masaki! Hayo sindio mwapenda!kwa hilo jina, watakula waswahili tu
Ni sawa na kumuita mtoto, matatizo, shida n.kHaya basi waite āHeavenly Eatsā ili waje ndugu zenu waigizaji wa maisha toka instagram na washua toka masaki! Hayo sindio mwapenda!
āHEAVENLY EATSā kama mnataka lisound kishua!Wadau. Mini na Shemeji yenu tumeamua tuanzishe Biashara ya CHAKULA kwa maana Mgahawa Pamoja na Catering. Tutakuwa tunafanya delivery.
Shida yetu hapa ni jina la Biashara lenye kuvutia wateja.
Kwa vile najua humu JF ni wajuvi wa mambo. Naomba mtusaidie jina la biashara.
TanzafoodWadau. Mini na Shemeji yenu tumeamua tuanzishe Biashara ya CHAKULA kwa maana Mgahawa Pamoja na Catering. Tutakuwa tunafanya delivery.
Shida yetu hapa ni jina la Biashara lenye kuvutia wateja.
Kwa vile najua humu JF ni wajuvi wa mambo. Naomba mtusaidie jina la biashara.
Upo mkoa au mji gani?Wadau. Mini na Shemeji yenu tumeamua tuanzishe Biashara ya CHAKULA kwa maana Mgahawa Pamoja na Catering. Tutakuwa tunafanya delivery.
Shida yetu hapa ni jina la Biashara lenye kuvutia wateja.
Kwa vile najua humu JF ni wajuvi wa mambo. Naomba mtusaidie jina la biashara.
hahahahahawaigizaji wa maisha toka instagram