1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 604
aisee kwa hiyo mayai ya kwale ni nyara za taifa kama pembe za ndovu ama?
Ha ha ha!mkuu pembe za ndovu unaweza ukatangaza kua unazo na unauza kirahisi kama mayai ya kwale?hawa ndege ni kama wasemavyo kanga kua kufuga wanahitaji kibali,ila sijawahi sikia mtu kapelekwa mahakamani kwa kufuga kanga,tena siku hizi wanauzwa mpaka mabarabarani na hakuna mtu anaeulizwa!ufugaji wa kwale umeanza kua maarufu kwa Watanzania kwa siku hizi za karibuni,kama Dar ufugaji huu umeanza shamiri kwa kasi