Naomba kazi, nina shahada ya Uuguzi napatikana Mbezi Beach

Utafanya kazi na njaa na kulala nje? Hii habari ya kujitolea mbona mnaichukulia simple sana au sababu bwana wako alikuwa amekupangia chumba na kukulisha free ndio unahisi wanawake wenzio wote wana madanga ya kuwa support?
[emoji4][emoji4][emoji4]
 
2) Naweza kuandaa na kuandika research proposals kwa wanvyuoa wanaofanya research for the awards za Degree kwa gharama nafuu kabisa

Unajua kama hili la kumwandikia mtu research ni kosa linaloweza kusababisha discontinuation kwa mwanachuo? Matatizo yasifanye tukiuke sheria na misingi ya nchi.

Usirudie tena kumfanyia mwanachuo research haujengi graduate bora bali unabomoa na unapaswa kushtakiwa
 
Pole sana Doreen. Inasikitisha sana kuona muuguzi kama wewe unakosa ajira pamoja na kuwa kuna upungufu mkubwa sana wa Wauguzi nchini. Ni rahisi watu kusema jitolee ufanye BURE wakati hata hiyo nauli ya kwenda na kurudi huko utakajitolea huna. Pesa ya kulipia pango au ya kupata hata mlo mmoja kwa siku huna. Pole sana.

 
Kwani hapo amesema research au research proposal?
 
Uyo hana hata leseni kwaiyo ni ngumu kupata izo kazi labda umuajiri at your own risk
 
Njooo Simiyu ujitoleee hutakosa ya vocha na unga wakati ukisubiri kupata kazu, anza na zero, mnatanguliza pesa wahitimu wa leo
Naomba na mm kama bado nafasi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…