Haiwezekani,mimi hapa nina mwaka toka niache kazi nazisubiri wamenambia mwezi wa kumi.Hapa hom natukanwa balaa
Unadhania kipi kilichochelewasha hivyoIngawa wamechelewa lkn afadhari.
Wewe unaongea unavyofahamu,mimi nasema kinachofanyika.Usidanganye watu,nenda nssf uone watu wanavyohaingaishwa.Hakuna cha private wala nini ,nssf moto ni uleule.Ninavyo fahamu mimi kwa wafanyakazi wa private siyo issue kupata mafao yako. Kama umeacha/umeachishwa kazi unapeleka tu barua ya kusitisha ajira inatoka ofisini kwako then watakupa maelekezo na ukifanya follow up basi utajua ni siku gani mpunga utamature na wanakuwekea kwenye akaunti yako ile ya mshahara.
Ila kwa wafanyakazi wa serikali sijui ikoje kwao.
Toa pesa upate pesaWewe unaongea unavyofahamu,mimi nasema kinachofanyika.Usidanganye watu,nenda nssf uone watu wanavyohaingaishwa.Hakuna cha private wala nini ,nssf moto ni uleule.
Sijakuelewa mkuu. . .Desemba ipi mkuu fafanua kidogoNilibeba tarehe tano,ngoma ilikuwa tayari toka desemba nane.Kuna mdada flan yy aliacha kaz july nayy siku hyo alibeba
Unamaanisha rushwa sio??! Nipe kautaratibu nami nijitose mkuu nipate changuToa pesa upate pesa
Kazi ya kukalia pesa za watuNENDA OFISINI KWAO UWAULIZE MANA WANALIPWA KWA KAZ HYO.
Pesa unampa nani? Ukidanganyika utaliaToa pesa upate pesa
Kama kuna mtu unamjua mm nipo tayari kuhonga mkuuToa pesa upate pesa
Wewe hueleweki mkuu....mara hawatoi, Mara desemba Mara July daahNssf wako poa,tumeshalamba mpunga wetu ingawa ulikuwa kidogo.
Kama vipi wewe nenda pale komaa nao sanaa,inaweza kusaidiaMliopata chenu hongereni asee
Naeleweka,kweli walinipiga kalenda sana na jamaa zangu wawili ila tarehe tano mwez huu walinipa changu kabisa mkuuWewe hueleweki mkuu....mara hawatoi, Mara desemba Mara July daah
Na hiyo desemba tulokuliza ni ipi mbona hujajibu vzuri mkuuNaeleweka,kweli walinipiga kalenda sana na jamaa zangu wawili ila tarehe tano mwez huu walinipa changu kabisa mkuu
Kweli mkuu anazinguaWewe hueleweki mkuu....mara hawatoi, Mara desemba Mara July daah
Ok poa sana ngoja..nami nisubiri wakiona mda wao wa kukalia pesa yangu umetosha watanilipa tuu!!Nilikosea ilkuwa septemba nane.