Naomba kuelekezwa kuhusu benki ya ABSA kutoa riba kila mwezi kutokana na salio lako na mikopo ya masharti mepesi

FNB walianza mapema sana tangu 2019 unaweka pesa zaidi ya 2m muda wowote kwenye atm zao, sijui kwanini ilipotea Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…