Kumekuwa na uwekezaji mkubwa wa ufugaji wa samaki hasa katika Ziwa Victoria.
Hili ni jambo la kupongeza sana na mpaka Wachina wamejenga kiwanda cha vyakula vya hawa samaki.
Juzi nimepita katika eneo la Luchelele Mwanza palipo na mabwawa haya ya kufugia samaki na kushuhudia uvunaji wao.
Wanapovuliwa kwa kweli ni wazima (fresh) kabisa na wanarukaruka jambo lilinipendeza sana lakini cha kushangza rangi yao ni nyeusi tii ukilinganisha na wale wasiofugwa kwenye mabwawa.
Hili la rangi limenipa sintofahamu labda hawa samaki siyo wazuri kwa kuliwa kama chakula.
Ninauliza, Je hawa samaki wa kufugwa ni wazuri kuliwa kama chakula cha binadamu?.
Ninaomba ushauri wa kitalaam.
Hili ni jambo la kupongeza sana na mpaka Wachina wamejenga kiwanda cha vyakula vya hawa samaki.
Juzi nimepita katika eneo la Luchelele Mwanza palipo na mabwawa haya ya kufugia samaki na kushuhudia uvunaji wao.
Wanapovuliwa kwa kweli ni wazima (fresh) kabisa na wanarukaruka jambo lilinipendeza sana lakini cha kushangza rangi yao ni nyeusi tii ukilinganisha na wale wasiofugwa kwenye mabwawa.
Hili la rangi limenipa sintofahamu labda hawa samaki siyo wazuri kwa kuliwa kama chakula.
Ninauliza, Je hawa samaki wa kufugwa ni wazuri kuliwa kama chakula cha binadamu?.
Ninaomba ushauri wa kitalaam.