Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
AahaaaaaJamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje
Kuhusu goli la kujifunga sisi wengine tumeyashuhudia zamani sana kwamba litakuwa ni goli tuJamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kwamujibu wa kocha wetu lile goli la kujifunga linaitwa objective gol limetupeleka makundi kwa kishindo.
Jamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje
Wewe unaonekana ni mbumbumbu kweli kweli!! Sasa mbona hayo maelezo yamejitosheleza!!
Jinsi Thimba ilivyofunzu makundi.Kwamujibu wa kocha wetu lile goli la kujifunga linaitwa objective gol limetupeleka makundi kwa kishindo.
Ni goli ama sio goliJamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje
Kwamba sio goal?Naona mpira wa papatu papatu umewasaidia sana simba msimu huu!!
Imagine mpaka sasa wameweza kushinda Ngao ya Jamii kwa mikwaju ya penati! Na jana umewasaidia kuingia hatua ya makundi baada ya mchezaji wa Power Dyanamo kujifunga kutokana na zile papatu papatu zao.
Kama hili nalo unalianzishia uzi bora ukanywe uji ulale tuJamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje