Inasemekana Young Africans ilikuwa ya wazalendo waafrika weusi na simba wakati huo ikiitwa queen baadae sunderland ilikuwa ya watu wenye asili ya kiarabu , kwa vyovyote wakati huo upendeleo wa kielimu ungeenda kwa waarabu kuliko waafrika weusi !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana Young Africans ilikuwa ya wazalendo waafrika weusi na simba wakati huo ikiitwa queen baadae sunderland ilikuwa ya watu wenye asili ya kiarabu , kwa vyovyote wakati huo upendeleo wa kielimu ungeenda kwa waarabu kuliko waafrika weusi !
Usipende kujidhalilisha sio lazima kuwa shabiki stay neutral kama mimi sijui lolote kwenye mpira nabaki kupenda tambo na vibweka vya mashabiki mitandaoni na mtaani . Kiufupi ww kuwa shabiki wa washabiki wa timu za mpira mbali na hapo utawekwa kwenye lile kundi la wasio na akiliJamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje
Yanga acheni uoga, kuingia makundi mlijitakia wenyewe. Sasa muwe tayari kupambana na timu yoyote ikiwemo Simba iliyowafunga mara mbili mechi mbili zilizopitaJamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje
Ni OP goal.Kwamba sio goal?
Wale Power Dynamos walistahili kusonga kwa sababu wamefunga goli 4-2 teh teh....Jamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaJamani wenye uelewa tujulishane, kama watu wame droo 3-3 hii kanuni ikoje