Naomba kuelimishwa juu ya nchi ya Qatar.

Naomba kuelimishwa juu ya nchi ya Qatar.

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
kwa sasa, na kwa mwaka huu wote nchi ya Qatar imetrend na itatrend sana sababu ya fainali za kombe la dunia kufanyika huko. naomba kuelimishwa kuhusu hii nchi.

Historia yake, utamaduni, watu wake, jiografia yake, uchumi wake nk nk. natanguliza shukrani.
 
Issue zingine siyo za kuuliza humu mzee. Nenda kwenye gugu kagugu.
sometimes people need reality from someone who have real experience. Google huelezea baadhi ya vitu kwa nadharia ama waandishi wengine pia wanaweza andika lots of propaganda kuhusu sehemu fulani, ila mwenye experience ya kuishi mahali hapi anaweza kua na picture halisi ambayo mtu anahitaji, maybe ndio sababu mtoa mada ameandika.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
... kama kuna kitu jamii ya wastaarabu ilikosea ni kupeleka world cup Moscow 2018. That was a deadly mistake.
 
Kifupi mkuu Qatar mara kwa mara inakuwa nchi tajiri zaidi duniani kwa pato la mtu mmoja mmoja. Wana mafuta mengi na Gas nyingi sana.

Pamoja na utajiri wao huo wana eneo dogo sana nchi yao ni kilomita za mraba kama 11,000 tu, kujua ni ndogo kiasi gani Tanzania Nzima ina kilomita za mraba zaidi ya 900,000

Hii ramani ya dunia ikionesha Qatar
where-is-qatar-located.jpg


Vitu maarufu vya Qatar kabla ya world cup ni Kituo cha Tv Aljazeera, Club ya PSG pengine na Qatar Airways.

Hili ndo jiji lao la Doha.
30214916668_eed51a4c7a_o-e1635366552978-1024x682.jpg


Jambo muhimu la kufahamu kwa Mtanzania kuhusu hii world cup ni kwamba hawa jamaa wapo wachache sana, kiasi kwamba hata wachezaji wa world cup hakuna, hivyo muda mrefu sana walikuwa wakitafuta mamluki. Kuna waTanzania wengi wameenda, Tetesi watoto wa Kibadeni wapo huko na Hata mshambuliaji wao mmoja Akram Afif ni Mtu wa Qatar mwenye asili ya Tanzania. Pia wachezaji wao wengi wametoka Africa sehemu kama Senegal, Sudan etc.
Hichi kikosi chao
Qatar_National_Team_at.width-1320.height-990.format-jpeg.jpg


Pia kutokana na udogo wa eneo viwanja vya mpira na miundombinu mengine wamejenga tu kwa muda world cup ikiisha wanabomoa na watavitoa misaada kwa Nchi nyengine.
 
Kifupi mkuu Qatar mara kwa mara inakuwa nchi tajiri zaidi duniani kwa pato la mtu mmoja mmoja. Wana mafuta mengi na Gas nyingi sana.

Pamoja na utajiri wao huo wana eneo dogo sana nchi yao ni kilomita za mraba kama 11,000 tu, kujua ni ndogo kiasi gani Tanzania Nzima ina kilomita za mraba zaidi ya 900,000

Hii ramani ya dunia ikionesha QatarView attachment 2172395

Vitu maarufu vya Qatar kabla ya world cup ni Kituo cha Tv Aljazeera, Club ya PSG pengine na Qatar Airways.

Hili ndo jiji lao la Doha.
View attachment 2172401

Jambo muhimu la kufahamu kwa Mtanzania kuhusu hii world cup ni kwamba hawa jamaa wapo wachache sana, kiasi kwamba hata wachezaji wa world cup hakuna, hivyo muda mrefu sana walikuwa wakitafuta mamluki. Kuna waTanzania wengi wameenda, Tetesi watoto wa Kibadeni wapo huko na Hata mshambuliaji wao mmoja Akram Afif ni Mtu wa Qatar mwenye asili ya Tanzania. Pia wachezaji wao wengi wametoka Africa sehemu kama Senegal, Sudan etc.
Hichi kikosi chao
View attachment 2172403

Pia kutokana na udogo wa eneo viwanja vya mpira na miundombinu mengine wamejenga tu kwa muda world cup ikiisha wanabomoa na watavitoa misaada kwa Nchi nyengine.
Aisee
 
Usisahau wanashira bora kabisa la ndege Asia... Qatar airways...

Qatar Airways has been named the World's Best Airline in the 2019 Skytrax World Airline Awards for the fifth time – a world first for any airline.

Also Qatar Airways dominates the 2021 World's Best Business Class categories, winning the awards for the World's Best Business Class, World's Best Business Class Seat, World's Best Business Class Lounge, and World's Best Business Class Onboard Catering
 
Kifupi mkuu Qatar mara kwa mara inakuwa nchi tajiri zaidi duniani kwa pato la mtu mmoja mmoja. Wana mafuta mengi na Gas nyingi sana.

Pamoja na utajiri wao huo wana eneo dogo sana nchi yao ni kilomita za mraba kama 11,000 tu, kujua ni ndogo kiasi gani Tanzania Nzima ina kilomita za mraba zaidi ya 900,000

Hii ramani ya dunia ikionesha QatarView attachment 2172395

Vitu maarufu vya Qatar kabla ya world cup ni Kituo cha Tv Aljazeera, Club ya PSG pengine na Qatar Airways.

Hili ndo jiji lao la Doha.
View attachment 2172401

Jambo muhimu la kufahamu kwa Mtanzania kuhusu hii world cup ni kwamba hawa jamaa wapo wachache sana, kiasi kwamba hata wachezaji wa world cup hakuna, hivyo muda mrefu sana walikuwa wakitafuta mamluki. Kuna waTanzania wengi wameenda, Tetesi watoto wa Kibadeni wapo huko na Hata mshambuliaji wao mmoja Akram Afif ni Mtu wa Qatar mwenye asili ya Tanzania. Pia wachezaji wao wengi wametoka Africa sehemu kama Senegal, Sudan etc.
Hichi kikosi chao
View attachment 2172403

Pia kutokana na udogo wa eneo viwanja vya mpira na miundombinu mengine wamejenga tu kwa muda world cup ikiisha wanabomoa na watavitoa misaada kwa Nchi nyengine.
Shukrani sana
 
kwa sasa, na kwa mwaka huu wote nchi ya Qatar imetrend na itatrend sana sababu ya fainali za kombe la dunia kufanyika huko. naomba kuelimishwa kuhusu hii nchi.

Historia yake, utamaduni, watu wake, jiografia yake, uchumi wake nk nk. natanguliza shukrani.
Hauna internet huko ulipo?
 
Back
Top Bottom