Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi karibia zote za Kiarabu za Gulf zipo hivyo. Uae wapo kama Milioni 1 ila wageni milioni 9. Kuwait, Oman etc wote wageni wengi kuliko wazawa.Pia ni nchi pekee duniani (i stand to be corrected) ambayo raia ni wachache kuliko wageni
Hata Bila mafuta Ingekua Tajiri, mafuta ni asilimia 70 ya uchumi wao. Majirani zao Dubai hawana mafuta na ni Nchi Tajiri.Ni kinchi kidogo kina watu million tatu mafuta ndio vinawapaisha kiuchumi
Huwa Nchi za Gulf hupewi uraia, hata uwe vipi, unaweza tu ukapewa permanent residence kama una mshiko.Nihamie sasa huko. Utaratibu wao upoje kuingia kana nsafiri na kutaka uraia huko?
Kama una-potential nafikiri uwezekano upo ingawa nadhani process ipo complicated kidogoHamna namna ya kujichomeka huko ukawa raia
Oman ni kama nusu kwa nusu hivi mlingano kati ya raia na wageni.Nchi karibia zote za Kiarabu za Gulf zipo hivyo. Uae wapo kama Milioni 1 ila wageni milioni 9. Kuwait, Oman etc wote wageni wengi kuliko wazawa.
Ingeletwa nchini kwako kipi ungekifanya... kama kuna kitu jamii ya wastaarabu ilikosea ni kupeleka world cup Moscow 2018. That was a deadly mistake.
... kama kuna kitu jamii ya wastaarabu ilikosea ni kupeleka world cup Moscow 2018. That was a deadly mistake.
Kwaiyo kiingereza cha gugu ni google,,,Kiswahili ya Google ni gugu!
Hivyo vifo vimeshakuwa disproved siku nyingi ila watu bado wanatumia.hawa jamaa walifanyiwa fitina sana na akina Saudia lakini bado wakatusua ila kuna wageni wengi wamekufa wakati wakiwa kwenye ujenzi wa miviwanja ya mpira & mahotel