RWANTANG
JF-Expert Member
- Dec 28, 2021
- 1,143
- 1,425
Habari wana jukwaa.Mwenza wangu ametakiwa kuondolewa kizazi kwakua kina uvimbe. Sasa swali langu je akitolewa kizazi dushe si itakuwa kama inaingia kwenye ndoo?
Au haina athari hiyo?
Tafadhali naomba kuelimishwa naamini jf kuna wanao fahamu hukusu hili.
Au haina athari hiyo?
Tafadhali naomba kuelimishwa naamini jf kuna wanao fahamu hukusu hili.