Tadeo Luzwili
Member
- Nov 5, 2022
- 6
- 3
Naomba kufaam soko kua soko kisheria linatakiwa kua na vigezo gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi anamaanisha ili eneo lenye vibanda vipate kibali cha kuwa soko linahitaji vigezo gani au ili eneo lianzishwe soko linahitaji vigezo ganiAndika tena
ninachofahamu SOKO huanzishwa na Halmashauri ya eneo husika kupitia sheria ndogo ya Usimamizi na Uendeshaji wa masoko na magulio ya halmashauri husika, na kuhusu vigezo vya kuanzishwa kwa soko bado linabaki kuwa ndani ya utashi au maamuzi ya halmashauri kwani ndio iliyopewa mamlaka kisheria japo vigezo vyake havikujatwa katika sheria ndogondogo. Pia mtu binafsi kisheria haruhusiwi kuanzisha soko au kuendeshaji pasipo kuwa na kibali maaulumu cha maandishi kutoka halmashauri husika.Naomba kufaam soko kua soko kisheria linatakiwa kua na vigezo gani?