Naomba kufahamishwa haya kuhusu mradi wa viwanja Bagamoyo

Naomba kufahamishwa haya kuhusu mradi wa viwanja Bagamoyo

clinician

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
2,098
Reaction score
4,926
Habari zenu!

Jana kupitia ITV niliona tangazo kutoka kwa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo akitangaza uuzwaji wa viwanja katika wilaya hiyo.

Kwakuwa napenda kumiliki kiwanja Bagamoyo lakini kwa sasa nipo mkoani kikazi sitaweza kufika ofisini na kufanya maulizo.

Naomba mtu yeyote anayefahamu kuhusu huo mradi anijulishe mahali ulipo, gharama za viwanja na taratibu za manunuzi kama inawezekana kwa mtu aliyepo mbali.

Asanteni.
 
Habari zenu!

Jana kupitia ITV niliona tangazo kutoka kwa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo akitangaza uuzwaji wa viwanja katika wilaya hiyo.

Kwakuwa napenda kumiliki kiwanja Bagamoyo lakini kwa sasa nipo mkoani kikazi sitaweza kufika ofisini na kufanya maulizo.

Naomba mtu yeyote anayefahamu kuhusu huo mradi anijulishe mahali ulipo, gharama za viwanja na taratibu za manunuzi kama inawezekana kwa mtu aliyepo mbali.

Asanteni.
Mkuu kununua kiwanja ukiwa mbali inabid ujiridhishe na hao wanaokuuzia ....au km una mtu aliyekaribu huko vinapouzwa mtume awe km muwakilishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivo Viwanja ni vya kuviendeleza sio kama vile unanunua unapotea miaka mitatu ndo unarudi,
 
Viwanja vinatangazwa ITV?? basi hapo Mkurugenzi anatafuta elfu 30 za applications wazitafune wakati viwanja tayari washavichukua WENYE NCHI.
 
Habari zenu!

Jana kupitia ITV niliona tangazo kutoka kwa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo akitangaza uuzwaji wa viwanja katika wilaya hiyo.

Kwakuwa napenda kumiliki kiwanja Bagamoyo lakini kwa sasa nipo mkoani kikazi sitaweza kufika ofisini na kufanya maulizo.

Naomba mtu yeyote anayefahamu kuhusu huo mradi anijulishe mahali ulipo, gharama za viwanja na taratibu za manunuzi kama inawezekana kwa mtu aliyepo mbali.

Asanteni.
Nunueni tu akija rais mwingine itakua kama ile ya viwanja vya Chato

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Equity bank wana toa viwanja vyenye hati kwa mkopo wa miaka miwili karibu ofini kwetu posta Golden jublee tower floor 3 Equity bank. Or nicheki WhatsApp 0715160365 kwa mawasiliano
Ungeweka hata bei ya kiwanja cha chini kabisa na maeneo
 
Back
Top Bottom