The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ukitembelea Nchi za jirani hasa ukanda wa Sadc kuna mabasi mazuri Sana ya kusafirisha Abiria kwenye Nchi za Zambia,Angola,Zimbabwe,South Africa na Botswana nk..
Mabasi ya viwango na classic kama like la Azam nk lakini huwezi kuyakuta hapa Tanzania..
Swali shida ni nini hasa? Picha zinajieleza.
Mabasi ya viwango na classic kama like la Azam nk lakini huwezi kuyakuta hapa Tanzania..
Swali shida ni nini hasa? Picha zinajieleza.