white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hiyo ndio sababu kubwa, unajua nchi kama zambia, namibia, botswana, zimbabwe, na south Afrika, wananchi wao wamezoea maisha fulani hivi kama ya kizungu hawataki shida, hivyo hata nauli za mabasi kama hayo wanaweza kuzimudu, lakini hapa kwetu kutokana na fikra za kimasikini tulizojengewa vichwani, yaani utofauti wa nauli wa 5000 tu mtu anaona ni kama 50000!!anapigia mahesabu hiyo 5000 tayari ni ya kura njiani.Wewe subiria uone hiyo SGR, ikamilke dar-dodoma, ambayo ni safari ya masaa 3, umwambie mtu nauli ni 30000 wakati huo kwa busi 22, 000 ambayo ni masaa 10 uone ni wangapi watapanda treni.Exposure
Vipato vya walio wengi kua vya kawaida
Nahisi ni baadhi ya vikwazo!
Barabara?