Naomba kufahamishwa, hivi kwanini Tanzania hatuna mabasi mazuri ya Abiria kama Nchi za Jirani? Tazama Picha

Pitia hizi gari za Zamani kwanza
Wanashindwa ushindani,ulishindwa wewe wanakuja wengine ndio biashara hiyo..

Mfano Tanzanite,ABC,Master,Superfeo,Sauli,Happy Nation na kampuni zingine nyingi ni mpya kwenye hiyo route ni zinapiga mzigo👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-081417.png
    165.3 KB · Views: 31
  • 20220816_082011.jpg
    20 KB · Views: 32
Mkuu mada nzuri ila kama kawaida tunaijibu kama wanafunzi wa F2,solution hapa ni moja nayo tufanye kazi ya kujenga nchi kwa smart way, sio kisiasa na mabavu, hiyo mifano wenzetu wanafanya kazi, Zambia Ile barabara ya kutoka Nakonde hadi Chinsali inajengwa kwa viwango vizuri kabisa,ni Pana na imara, Zimbabwe Ile barabara ya kutoka Beitbridge kwenda Harare wanaijenga kwa viwango, Botswana, SA, Namibia wapo in another level, wenzetu wanajenga upya sio kutia vilaka, na kuweka matuta ya ajabu kwenye freeways, buses hizi zinahitaji barabara nzuri na workshops za kisasa
 
Serikali imeanza kulifanyia Kazi hili swala la barabara..By next year wanaanza kujenga kwa njia 4 barabara ya Igawa hadi Tunduma,Kibaha hadi Chalinze to Morogoro na wataanza kuipanua ile ya Morogoro hadi Iringa.
 
Serikali imeanza kulifanyia Kazi hili swala la barabara..By next year wanaanza kujenga kwa njia 4 barabara ya Igawa hadi Tunduma,Kibaha hadi Chalinze to Morogoro na wataanza kuipanua ile ya Morogoro hadi Iringa.
Tatizo mkuu wangu sio njia 4 au8,tatizo ni quality ya barabara,,usijifanye ni msemaji wa serikali wakati unaendekeza ufisadi, hiyo barabara yaani T1 inahitajika kujengwa upya,life span yake imekwisha na inginia wewe waambie freeways hazina matuta, ila zinawekewa fixed speed cameras sip uchafu ule wa mikumi national park
 
Sasa nini maana ya kujengwa upya? Sio swala la kuwa msemaji kwani hujaona tenda zimetangazwa?

Kwa hiyo hutaki au?
 
Bus zuri kama hizo Serikali haitaki Wananchi wake wazitumie wameweka kodi kubwa sana ndio maana Wafanyabiashara wanaona wanunue za bei rahisi kwa Zambia wanunuzi wa bus za kutoa huduma kodi yake ipo chini pamoja na maroli ndio maana wao sasa hivi wapo na bus nzuri harafu zinaenda vijijini huko hata bara bara zenyewe ni mbovu tuu..miaka ya nyuma wao walikua wanakuja kupiga picha na Scandinavia bus hapo Intercity leo hatuna bus hata moja kama wao la abiria..
 
Hii yote ni sababu ya Washamba wengi kujaa kwenye Vyombo vya juu vyenye mamlaka.
 
Kwa barabara gani ya kuweka hayo mabox ? Route ya dar kigoma kwa huo utumbo ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…