Naomba kufahamishwa jinsi ya kufika Chanika kutokea Mbezi Beach usafiri wa daladala

Naomba kufahamishwa jinsi ya kufika Chanika kutokea Mbezi Beach usafiri wa daladala

Panda gari za makumbusho ama za mawasiliano, kisha panda gari za gongo la Mboto , huko gongo la mboto utapata za chanika.
 
Tafuta usafiri mpaka Mbezi Luis, Mbezi Luis kuna daladala za gongo la mboto ukifika gongo la mboto kuna za Chanika.

Ama option ya pili panda daladala mpaka Kariakoo machinga kuna daladala za Homboza ambazo ndio za chanika.

Au option ya tatu panda daladala hadi Makumbusho au Moroco hapo zipo daladala za gongo la mboto panda,shuka mwisho panda za Chanika.

Waweza tumia kama 2400 mpaka unafika.Maana nauli 800 each.
 
Tafuta usafiri mpaka mbezi luis,mbezi luis kuna daladala za gongo la mboto ukifika gongo la mboto kuna za Chanika.
Ama option ya pili panda daladala mpaka Kariakoo machinga kuna daladala za Homboza ambazo ndio za chanika.
Au option ya tatu panda daladala hadi Makumbusho au Moroco hapo zipo daladala za gongo la mboto panda,shuka mwisho panda za chanika.
Waweza tumia kama 2400 mpaka unafika.Maana nauli 800 each.
Shukran mkuu
 
Muwe mnazurula, sometimes inasaidia kujua maeneo hata ukipata ishu ni chap unaibuka.

Enewei bila shaka umesaidika.
Wazo lako limenilenga. Huwa nikiwa na muda wa ku-relax ama likizo Kuna wakati huwa ninaamua kutembelea sehemu flani ambayo sijawahi fika humu humu Dar ili nijionee mazingira.
 
Wazo lako limenilenga. Huwa nikiwa na muda wa ku-relax ama likizo Kuna wakati huwa ninaamua kutembelea sehemu flani ambayo sijawahi fika humu humu Dar ili nijionee mazingira.
Ndio hivyo, unapata dili njoo kidogo chekundu. Unaanza kuwaza safari ya kigoma kumbe ni dar hapahapa.

Huna ishu unashinda ndani kama utumbo utaokota wapi pesa sasa.
 
Back
Top Bottom