Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza juisi ya MILKSHAKE

Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza juisi ya MILKSHAKE

Mimi sio mjuzi sana wa milkshake labda nikusaidie hii ya banana milkshake
Maziwa fresh nusu Lita
Ice cream vikopo vidogo 2
Chocolate biscuit zile zenye rangi ya brown kabisa
Ndiz Tatu
Vanilla flavour
Weka vyote kwenye Brenda ispokuwa biscuit
Saga Kwa dakika 2 Kisha minina kwenye glass Kisha vunja vunja biscuit weka juu ya milkshake yako enjoy
Anaweza kuweka na biscuits ndani itatoka poa sana. Ila haya makitu wanaotakiwa kuyafaidi ni watu wembamba. Ukiwa mnene haya madude usitumie kwa uroho yana nenepesha balaa.


Biscuits nzuri achukue zile za Oreo ndizo nzuri. Hizi za uchochoroni ni wizi mtupu. View attachment 2978508
 
Anaweza kuweka na biscuits ndani itatoka poa sana. Ila haya makitu wanaotakiwa kuyafaidi ni watu wembamba. Ukiwa mnene haya madude usitumie kwa uroho yana nenepesha balaa.


Biscuits nzuri achukue zile za Oreo ndizo nzuri. Hizi za uchochoroni ni wizi mtupu. View attachment 2978508
Shukrani sana
 
Milkshake maziwa fresh rose srypu ice cubes una blend pamoja unatia kwenye glass tayari kunywa unaweza kuongezea tukmaria seed unaloweka kisha unatia kwenye milkshake
 
Milkshake na Juice ni vitu viwili tofauti. Juice ya milkshake labda huko kwenu Ngudu ndo ipo
 
WAkuu habari za usiku huu?

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza juisi aina ya milkshake, vitu vinavyowekwa humo mpaka inakamilika kwa ajili ya kunywewa.

Mbali na hilo naomba kufahamishwa mchanganyiko mzuri wa juisi inayopendwa na nzuri kwa ajili ya biashara.

Ahsanteni na karibuni.
Mixer ya mtindi mzito na embe la safarani saga Kwa blender utaenjoy!!!
 
Back
Top Bottom