Mbona rahisi tu, mfano kwa mashindano ya CAF head to head ni kanuni inayofuata baada ya points. Lakini kuna kanuni zingine baada ya points na head to head. Maana yake kama points na head to head wanalingana wanaenda kwenye kanuni nyingine kama vile GD na yenyewe kama wanalingana wanaangalia magoli mengi ya kufunga au kufungwa n.k
Pia kumbuka mashindano mengine kanuni ya kwanza ni points halafu inafuata GD halafu head to head n.k
Pia kumbuka mashindano mengine kanuni ya kwanza ni points halafu inafuata GD halafu head to head n.k