Naomba kufahamishwa kama TAA imeshaita watu kwenye usaili

Alamin_

New Member
Joined
Aug 1, 2022
Posts
2
Reaction score
1
Habari,

Wadau naomba kuuliza hivi hawa Wakala wa Viwanja vya Ndege - TAA wameshaita watu waliochaguliwa kwa ajili ya usaili?

Maana tokea nilivyoomba hamna updte yoyote ile mwezi wa pili sasa huu
 
Habari,

Wadau naomba kuuliza hivi hawa Wakala wa Viwanja vya Ndege - TAA wameshaita watu waliochaguliwa kwa ajili ya usaili?

Maana tokea nilivyoomba hamna updte yoyote ile mwezi wa pili sasa huu
 
Habari,

Wadau naomba kuuliza hivi hawa Wakala wa Viwanja vya Ndege - TAA wameshaita watu waliochaguliwa kwa ajili ya usaili?

Maana tokea nilivyoomba hamna updte yoyote ile mwezi wa pili sasa huu
Kutoka kwa mdau.
Subiri Sensa ipite mtaanza kuitwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…