Naomba kufahamishwa kampuni nzuri ya bima za Magari ambao siyo wasumbufu

Naomba kufahamishwa kampuni nzuri ya bima za Magari ambao siyo wasumbufu

Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu Vipi uhakika wa pesa yangu ambapo broker atafilisika au kufa. Naomba kufahamu badhii ya hao broker

Kama unataka kupita kwa Broker basi nenda ARIS au AON wenyewe watakuchagulia "best Insurer" na hutasumbuka upatapo tatizo maana wana "power" ya kutosha..

Lakini pia wako mabroker wengine wazuri tu ila hao wawili ndio wakubwa zaidi kwenye soko la bima hapa nchini..

Kama unahitaji bima ndogo (Third Party Only) usiangaike, kata popote karibu na wewe.. ilimradi tu isiwe bima feki..
 
Insurance broker mzuri ni Ndege Insurance Company, kama ni insurance company basi NICO wapo vizuri

Mkuu unachanganya kati ya broker na company... Ndege ni INSURANCE BROKERS sio INSURANCE COMPANY.

Pia kwa sasa hakuna kampuni ya bima iitwayo NICO bali ilikuwa inaitwa NIKO na wameshabadilisha jina wanaitwa SANLAM GENERAL INSURANCE COMPANY
 
Upo sahihi kabisa mkuu, ndio maana mtu anapaswa kwenda sehemu sahihi.Wapo brokers ambao hata huo utaalamu hawana, ni ujanjaujanja tu.
Mkuu umemuelezea vizuri sana ila mi ushauri wangu ni heri aende direct kwa insurer ambapo ana mtu ndani especially upande wa madai kuliko kwa brokers ... brokers % kubwa nwdays ni matatizo
 
Mkuu umemuelezea vizuri sana ila mi ushauri wangu ni heri aende direct kwa insurer ambapo ana mtu ndani especially upande wa madai kuliko kwa brokers ... brokers % kubwa nwdays ni matatizo
Pia insurers nao wapo makanjanja wasiolipa claims mkuu.
 
Mkuu unachanganya kati ya broker na company... Ndege ni INSURANCE BROKERS sio INSURANCE COMPANY.

Pia kwa sasa hakuna kampuni ya bima iitwayo NICO bali ilikuwa inaitwa NIKO na wameshabadilisha jina wanaitwa SANLAM GENERAL INSURANCE COMPANY
Uko deep, bila shaka uko kwenye hii tasnia..lol
 
Insurance broker mmoja aliniambia hivi hivi sema shida ni kuwa wapo magumashi ambao sometimes hawafikishi hela!
Kwa Bima za magari huu mfumo mpya wa kuhakiki kwenye mtandao utamsaidia mteja kujua uhalali wa bima yake.. kama ukiona bima yako haisomi basi unapaswa kufatilia mapema iwezekanavyo..

Pia ukatapo bima hakikisha unapewa risiti na uitunze.. kama broker hakupeleka malipo ya bima kwa kampuni basi iyo itakuwa ni kati ya broker na kampuni wewe mteja utakuwa "on the safe side" kisheria..
 
Habari Za mchana Naomba kwa mwenye uelewa juu ya makampuni ya bima Za magari anifamishe. Nahitaji kampuni ambayo pindi upatapo tatizo siyo wasumbufu kukulipa. Naomba kiwasilisha
CRDB matawi yote wanakatisha bima za aina zote, fika upate huduma bora za bima.
 
Mkuu unachanganya kati ya broker na company... Ndege ni INSURANCE BROKERS sio INSURANCE COMPANY.

Pia kwa sasa hakuna kampuni ya bima iitwayo NICO bali ilikuwa inaitwa NIKO na wameshabadilisha jina wanaitwa SANLAM GENERAL INSURANCE COMPANY
Nilimaanisha Ndege Insurance broker
 
Kama ulitaka nyama ungeenda buchani. Sometimes ni vema kutumia kidogo ulichopewa kupata kingine, na sio kulazimishwa upewe vyote
Uzuri hakuna binadamu aliye kamilika na anaye jua kila kitu maana hata wewe hicho ukijuacho ulipata wa kukuelekeza na ukadadisi na ukaelewa ,hata wewe ipo siku utaomba kusaidiwa kwa jambo lolote iwe humuhumu jf au hata mahali pengine sijui ukipewa jibu la aina hii utajisikiaje wewe kama muuliza swali, unapo pata mtu anaye jua kitu fulani nirahisi zaidi kumuelewa kwa sababu utauliza zaid upajte ufafanuzi na utajibiwa na usipo elewa utauliza tena na utaeleweshwa na mwisho wa siku una elewa kwa kina kabisa.
 
Uzuri hakuna binadamu aliye kamilika na anaye jua kila kitu maana hata wewe hicho ukijuacho ulipata wa kukuelekeza na ukadadisi na ukaelewa ,hata wewe ipo siku utaomba kusaidiwa kwa jambo lolote iwe humuhumu jf au hata mahali pengine sijui ukipewa jibu la aina hii utajisikiaje wewe kama muuliza swali, unapo pata mtu anaye jua kitu fulani nirahisi zaidi kumuelewa kwa sababu utauliza zaid upajte ufafanuzi na utajibiwa na usipo elewa utauliza tena na utaeleweshwa na mwisho wa siku una elewa kwa kina kabisa.
Brother achana na watu wa aina hii, just wapuuze yamkimi hata hawana baiskeli ndo maana wanajibu nonsense
 
Mkuu unachanganya kati ya broker na company... Ndege ni INSURANCE BROKERS sio INSURANCE COMPANY.

Pia kwa sasa hakuna kampuni ya bima iitwayo NICO bali ilikuwa inaitwa NIKO na wameshabadilisha jina wanaitwa SANLAM GENERAL INSURANCE COMPANY

Mkuu sorry kidogo... hivi SANLAM before ilikuwa sio African Life?
 
Mkuu sorry kidogo... hivi SANLAM before ilikuwa sio African Life?

Mkuu kuna SANLAM LIFE hapo awali ilikuwa AFRICAN LIFE ASSURANCE na SANLAM GENERAL hapo awali ilikuwa NIKO INSURANCE. Sasa hivi owner ni mmoja.
 
Mkuu unachanganya kati ya broker na company... Ndege ni INSURANCE BROKERS sio INSURANCE COMPANY.

Pia kwa sasa hakuna kampuni ya bima iitwayo NICO bali ilikuwa inaitwa NIKO na wameshabadilisha jina wanaitwa SANLAM GENERAL INSURANCE COMPANY
Hawa Niko **** mzungu mmoja walimsumbua kumlipa pesa zake baada ya kuacha Nazi hawa mi nawaogopa
 
Wakuu naombeni ushauri. Nilikatia gari yangu bima premium ya 8milion. Bahati mbaya gari ikapata ajali na haitengenezeki so bima wakatakiwa kunilipa. Katika offer waliyonipa wanasema pre accident value ni 5.5milion. Nisichoelewa ni kwa nini wanikatie bima ya 8m ikiwa wanajua value ya gari yangu ni 5.5milion. Naombeni ufafanuzi kwa hili maana hata emails zangu sasa hawajibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom