Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,381
Inawezekana kabisa ikawa ni kweli thamani ya gari lako kipindi linapata ajali ilikua ni 5.5m tatizo ni pale mwanzo saa unakata bima ulipaswa kulikatia kwa market value labda ingekuwa 6m..Wakuu naombeni ushauri. Nilikatia gari yangu bima premium ya 8milion. Bahati mbaya gari ikapata ajali na haitengenezeki so bima wakatakiwa kunilipa. Katika offer waliyonipa wanasema pre accident value ni 5.5milion. Nisichoelewa ni kwa nini wanikatie bima ya 8m ikiwa wanajua value ya gari yangu ni 5.5milion. Naombeni ufafanuzi kwa hili maana hata emails zangu sasa hawajibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio bima wanapoenekana ni wababaishaji hawakuelezi vizuri wenyewe wanataka pesa tu..
Mara zote kinachoshusha thamani ya gari ni uchakavu (depreciation) hapo wanaangalia kuanzia lini gari lako limesajiliwa hapa nchini.. kama lina muda mrefu ndio inakula kwako unajikuta bora ungekata bima ndogo tu..
Next time kabla ujakata bima fanya valuation ya gari lako kwa bei ya soko kwa wakati huo..
Sent using Jamii Forums mobile app