Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
Na je Rais wa Sasa amefikia huko maana nliwah msikia yeye mwenyewe Kama elimu yake ni ya kuungaunga.Mm ninachojua rais anitakiwa asiwe na chini ya degree
Wewe siku zote hizo walikuwa wanasoma wasifa wake kwenye channels kibao za Tz hukusikiliza?Kwa wajuzi naomba kujua kiwango Cha elimu Cha Rais wetu wa Sasa mama Samia suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na sivibaya tukaujua ni raisi yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo.Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.
Lakini pia naomba kujuzwa katika katiba Kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango Cha elimu anachopaswa kuwa nacho rais wa nchi au halijatajwa hilo.
Tatu je kiwango Cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
Nimeanza kupata mashaka na elimu yake mkuu sababu Kuna dalili mbaya nyingi kuwa huenda kiwango chake hakiridhishiWewe siku zote hizo walikuwa wanasoma wasifa wake hukusikiliza?
Na mwenye elimu ndogo zaidi?Raisi mwenye elimu kubwa nadhani ni Hayati Magufuli ana Phd,mengine watanzania wenzangu wataongezea
Wasifu wake ulisomwa Sana Kama ulifuatilia vyombo vya habari kipindi anaapishwa.Nimeanza kupata mashaka na elimu yake mkuu sababu Kuna dalili mbaya nyingi kuwa huenda kiwango chake hakiridhishi
Raisi mwenye elimu kubwa nadhani ni Hayati Magufuli ana Phd,mengine watanzania wenzangu wataongezea
Muhimu kujua,taasisi hii muhimu isipo wekea taratibu makhususi kila mtu ataamini anaweza kuwa rais na tutakuja kupata Marais wa hovyo Sana mbeleni Kama dalili zinavyoanza kuonekana kwa hiyo kunaumuhimu wa kuanza kuulizana .Mnataka kujua elimu ya Rais kwani mnataka kutambika?
Atakuwa MwinyiNa mwenye elimu ndogo zaidi?
PhD gani ya kuungaunga! Mwenye elimu kubwa ni Dr Jakaya mwenye Phd isiyokuwa na shaka.Raisi mwenye elimu kubwa nadhani ni Hayati Magufuli ana Phd,mengine watanzania wenzangu wataongezea
HahaPhD gani ya kuungaunga! Mwenye elimu kubwa ni Dr Jakaya mwenye Phd isiyokuwa na shaka.
HahahaAtakuwa Mwinyi