Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
- Thread starter
- #41
Ukweli wa Mambo Kile kiingereza Cha kwa Museven kimenifanya ni hoji Sana inamaana alitaka tujue Yuko vzuri ktk lugha ili kuwaprove wrong wale ambao wanamashaka na elimu yake au alikuwa anaendeleza kufuta legacy ya kwenda zake ila pia nimegundua ni ngeli fulan hivi ya English cos Kama ya shishi baby.Mwenzio saa 8 kilimponza hiki hiki
Swali langu tunaomba tupate mtirirko mzuri wa kiwango chake Cha elimu.