Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Ebu acha upuuzi....
Pu....... Mbavu.... Zako.
Mods fungeni uzi huu mtoa mada anajifanya jeuri na mjuaji mjuaji wa kijinga.
Kuuliza ni ujinga nahitaji kujulishwa tatizo langu lipo wapi?mbona unatanguliza mapenzi hata ktk Mambo serious.
 
Mama kalipuliwa huko mtandaoni kwa mambo/tuhuma kadhaa ambazo siwezi kuziweka hapa ila mojawapo inahusu yeye kutokuwa na degree(hayo mengine tuyaache).

Lakini nakumbuka wakati wanatoa wasifu wake (kama niko sahihi),waligusia swala la yeye kujiendeleza kielimu na kufika mbali na kama sikose, alisoma mpaka huko Ulaya.

Swali ni je,madai haya yanatoka wapi kama ni kweli?

Kazi nyingine imeanza huko Twitter na inabidi iendelee kama kauli mbiu yake inavyosema.Sasa sijui atavumilia kwa hizi nondo alizopigwa na yule jamaa kule Twitter?

Wacha tubaki watazamaji.
 
Mama kalipuliwa huko mtandaoni kwa tuhuma kadhaa ambazo siwezi kuziweka hapa ila mojawapo inahusika yeye kutokuwa na degree.

Lakini nakumbuka wakati wanatoa wasifu wake,waligusia swala la yeye kujiendeleza kielimu na kufika mbali na kama sikose alisoma mpaka huko Ulaya.

Swali ni je,madai haya yanatoka wapi kama ni kweli?


Kazi nyingine imeanza huko Twitter na inabidi iendelee kama kauli mbiu yake inavyosema.Sasa sijui atavumilia kwa hizi nondo alizopigwa na yule jamaa kule Twitter?

Wacha tubaki watazamaji.
Kuwa Rais wa Tanzania siyo lazima uwe na Degree.

Degree ni upumbavu mwingine usio na maana yoyote.

Note: Sijasema anayo au hana: Ila degree karne hii ya 21 siyo issue. Dunia iko kwenye SKILLS na PERFORMANCE.
 
Tuhuma gani, acha umbea.

Kwani kuna mahala katiba inasema rais lazima awe na degree?

Moderator mnaruhusu umbea na uzushi kama huu kwenye hii platform ni kupoteza credibility ya hii platform.

Mtu anaibuka tu kutoka huko anaharisha uzushi bado mnamuacha tu.
 
Mama kalipuliwa huko mtandaoni kwa tuhuma kadhaa ambazo siwezi kuziweka hapa ila mojawapo inahusika yeye kutokuwa na degree.

Lakini nakumbuka wakati wanatoa wasifu wake,waligusia swala la yeye kujiendeleza kielimu na kufika mbali na kama sikose alisoma mpaka huko Ulaya.

Swali ni je,madai haya yanatoka wapi kama ni kweli?

Kazi nyingine imeanza huko Twitter na inabidi iendelee kama kauli mbiu yake inavyosema.Sasa sijui atavumilia kwa hizi nondo alizopigwa na yule jamaa kule Twitter?

Wacha tubaki watazamaji.
Wewe jamaa niliwahi kukwambia utat.ombewa mpaka mke wako, unakuwa mpashkuna sana wa mitandaoni. Watoto wako utakuja kuwarithisha akaunti za Twitter, JF, insta, fb etc wenzio wakiacha akaunti za benki zimenona. Tafuta pesa ya Samia mwachie mwenyewe. Mmeshaambiwa Kigogo ni January Malope na wenzie, wamenyimwa nafasi Kama walivyotarajia wameanza kuonyesha hasira. Nakuhakikishia zamu hii watanyooshwa asubuhi sana.
 
Back
Top Bottom